Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,090
Akiongea na kituo cha radio cha Efm kupitia kipindi cha michezo cha asubuhi, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa amekiri kuwa hawakujipanga vizuri kwenye pre season hivyo kupelekea timu yao kutolewa na Rivers United katika hatua ya awali ya Caf Champions League!!
Haji Mfikirwa akaongeza kuwa
" Tumepata somo zuri katika mechi hizi mbili za Rivers na sasa tunaenda kumfunga Simba jumamosi kwenye mechi ya ngao ya jamii".
Una maoni gani kuhusiana na kauli ya kaimu ceo wa Yanga??
Haji Mfikirwa akaongeza kuwa
" Tumepata somo zuri katika mechi hizi mbili za Rivers na sasa tunaenda kumfunga Simba jumamosi kwenye mechi ya ngao ya jamii".
Una maoni gani kuhusiana na kauli ya kaimu ceo wa Yanga??