jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
kabisaNadhani kila mtu has his or her own rights to his/her opinion, hivyo hata mimi I have right to my own opinion.
Lazima tujenge utamaduni wa watu humu kuheshimu mawazo ya wengine bila kunyoosheana vidole hata kama hatukubaliani nao.
Paskali