The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,177
- 13,589
Wanawake na Watoto wanapoteza maisha hii haikubaliki. Israel wajitahidi sana kuwa waangalifu. Tunawaunga mkono kujilinda lakini maisha ya Wanawake na Watoto wasio na hatia inatugusa sana.
Hamas hawa wakulaumiwa wasiwatumie Wanawake na Watoto kama ngao. Natoa rai pande zote mbili zikae katika meza ya mazungumzo na maelewano.
Ila tumesahau mtu mmoja tu muweza wa yote ambaye tukimuomba kwa dhati nakufuata mafundisho yake huu mzozo wa Israel na Palestina unaweza ukaisha na si Palestina na Israel bali amani kwa binadamu wote. Si mwengine ni Yesu wa Nazareti mwana Mungu.
Tatizo wengi wanampuuzia lakini ni simple tu alisema mpende jirani yako unavyojipenda na mpende Mungu kwa nguvu zote akili zote na roho yote.
Yani hivi viwili tu ni amani ya milele
Hamas hawa wakulaumiwa wasiwatumie Wanawake na Watoto kama ngao. Natoa rai pande zote mbili zikae katika meza ya mazungumzo na maelewano.
Ila tumesahau mtu mmoja tu muweza wa yote ambaye tukimuomba kwa dhati nakufuata mafundisho yake huu mzozo wa Israel na Palestina unaweza ukaisha na si Palestina na Israel bali amani kwa binadamu wote. Si mwengine ni Yesu wa Nazareti mwana Mungu.
Tatizo wengi wanampuuzia lakini ni simple tu alisema mpende jirani yako unavyojipenda na mpende Mungu kwa nguvu zote akili zote na roho yote.
Yani hivi viwili tu ni amani ya milele