Mallya5
Member
- Oct 5, 2015
- 94
- 51
We jamaa umejibu kwa akili nyingi sana kama ni muelewa ataelewa tu
Huku sie ni wazalishaji unataka vipi bei iwe sawa? Umeuliza gunia la dagaa ya mwanza bei gani mwanza na Mbeya kwa hoja hiyo?