Kahama VS Njombe/Mafinga

Ni kweli ndege zipo huko, but kwa umaskini wa wenyeji sidhani km kuna mzawa anapanda hizo ndege zaidi ya treni. Hizo zinaleta wakinga na wachaga kija kubeba madini na kusepa nazo na kuwaachia vumbi lenu na umaskini wenu, ebu wahi kachunge ndama uko muda umefika
Punguza hasira we panya road mpanda miti, sura nyeusi iliyochanganyika na ukimwi, nitajie tajir wa kikinga aliyepo pale Kahama au mchaga anayekimbiza pale Kahama...
 
Kahama kali nimeona 2 tu. Nyingine uchafu tu kwa kulinganisha na njombe, harafu hapo tumeonesha hotel tu, bado viwanda, mashamba ya fursa, harafu kwanini watu wa huko ni maskini wa kutupwa. Mnakwama wapi? Elimu duni, vyoo hakuna, mnakimbilia vichakani hadi zama hizi, mnanufaika vp na mashimo yenu hayo
Takwimu tu hizo mikoa ya nyanda za juu kusini yooote imefunikwa na kanda ya ziwa kwa kila kitu.
.
Mkileta mashamba ya mbao sijui nini naleta migodi mfe na kihoro
 
uzuri wake hao wafupi ndo wanaoiteka kariakoo sasa hv, wana akili hatariii, kuliko nyie mangongoti harafu ma vilaza, huku taaluma ipo vzr pia
Huhuhuhuhu hivi Njombe kuna shule gani inayofanya vizuri hata y binafsi tu, kahama zipo hadi kero
.
Alafu kwenye huu mpambano Mafinga ipo mbona mnaisahau sana
 
Mzee kwamba huoni?? Nitajie sehemu hata moja ya jiji la mbeya ambayo unaeza enda ukapiga hata picha, trust me Haipo..
kwangu mbeya ni Home pia, but Huwezi fananisha mbeya na Iringa, Iringa ni mji mzuri, Uliopangwa vizuri, Hali ya Hewa Safi, watu pia wasafi, mji organized, 24hrs maji safi yapo, Mbeya can beat Iringa May be kwa Size,
Mbeya is one of the Dustiest city ever, ushaenda mbalizi mwezi wa tisa wewe? Au jaribu tembea kwa mguu toka mabatini hadi Mama Joni,
Vumbi la kufa mtu, bajaji kede na mabodaboda.
Iringa ni padogo kuliko mbeya ila ukiwa mjini you feel upo mjini, houses are actual houses, Tembea kwa mguu popote hutahitaji kubrush kiatu chako..
Sio mbeya mabati ya kutu na majumba ya udongo kotekote kuanzia mbalizi hadi mabatini, Uje hadi Uyole na Sae, ukienda ile njia ya Makunguru hadi Isanga ndio uwiii
Infact mbeya ni very disorganized wewe unafahamu hili sitaki kukuelezea zaidi,

By the way, Mbeya na Iringa kote ni Home,
Tunahitaji barabara sita toka Inyala hadi Uwanja wa ndege kule Songwe, kile kiuchochoro kwakweli its shame kwa mkoa unaochangia pato la nchi kwa sehemu kubwa, yaani kile kibarabara kimefanya msongamano wa magari ikiwa magari yenyewe sio mengi sana, Ile bypass ijengwe but Barabara Sita is a Must,
We need a real Mbeya City, not like the current one.
Hii serikali imekuwa ikiipotezea Mbeya kwa miongo mingi sana. No way.
Nilikuwa nazingua Mbeya ni mbaya very disorganized yaani ni large slams inasikitisha kuona jiji kama lile lina miti mingi lakini wameshindwa lilipanga
Mimi naona ili kupunguza ubaya wa Mbeya lile eneo la mashamba kuanzia uyole hadi sae walipange na wajenge makazi ya matajiri yaani iwe satellite city zaidi ya hapo hakuna eneo jingine la wazi lililopo mjini
Hata hivyo Mbeya ina madiwani nk kwa nini hawaoni haya ili kuchukua hadhari mapema ujenzi holela lakini hakuna wanachofanya tuwaache hivyo hivyo na jiji uchwara lenu.Ishu ya vumbi ni asili ya udongo wa Mbeya unamomonyoka ukukauka hiyo haitakaa iishe
 
Huhuhuhuhu hivi Njombe kuna shule gani inayofanya vizuri hata y binafsi tu, kahama zipo hadi kero
.
Alafu kwenye huu mpambano Mafinga ipo mbona mnaisahau sana
rejea takwimu za necta miaka mitatu ya hv karibuni, usijiondoe ufahamu. Top ten mikoa bora kwa ufaulu, pia rejea takwimu za kiuchumi mwezi ulopita njombe ya ngapi kwa maisha bora, harafu linganisha na kwa mafukara wa kahama.
 
Huhuhuhuhu hivi Njombe kuna shule gani inayofanya vizuri hata y binafsi tu, kahama zipo hadi kero
.
Alafu kwenye huu mpambano Mafinga ipo mbona mnaisahau sana
Hivi wewe ni mzima huko kichwani kweli,kuna mwaka umewahi ona Njombe imetoka top ten ya necta?
Manamba nyie kazi yenu migodi na kuchunga ng'ombe , shule tuachie wenye akili,kila mtu akisoma nani atakuwa manamba?
 
rejea takwimu za necta miaka mitatu ya hv karibuni, usijiondoe ufahamu. Top ten mikoa bora kwa ufaulu, pia rejea takwimu za kiuchumi mwezi ulopita njombe ya ngapi kwa maisha bora, harafu linganisha na kwa mafukara wa kahama.
Weka shule niweke shule, Kahama ni Gold town sio bush town kama huko kwenye mambao
 
ushawekewa ya nini nirudie, mi najielewa sio kama wewe kilaza unarudia rudia jengo moja picha kumikumi kisa umeishiwa. Endeleeni kuzalisha makahaba wakati cc tunazalisha matajiri.
Ushaanza matusi nitake radhi hakuna mahala nimekutukana wala kumtukana yeyote mimi sio kilaza.
.
Kuhusu kurudia picha za Submarine ni kutokana na maombi ya ngulipo kuwa hajaona hotel za Kahama sasa wewe unabwata tu hapa na matusi juu huku hujaweka picha hata moja.
.
Yani kisa kwenu kaka yako alifaulu shule basi nawe huna haja tena ya kusoma sio? Akili zingine hizi ndio maana wafupi nyie
 
Hivi wewe ni mzima huko kichwani kweli,kuna mwaka umewahi ona Njombe imetoka top ten ya necta?
Manamba nyie kazi yenu migodi na kuchunga ng'ombe , shule tuachie wenye akili,kila mtu akisoma nani atakuwa manamba?
Tunazungumzia shule na sio mkoa Kahama iko ndani ya mkoa wa Shinyanga.
.
Weka shule inayofanya vizuri kutoka Njombe mji nami naweka Shule inayofanya vizuri Kahama mji kisha tuone nani ni mzima kichwani kama ulivyouliza
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom