M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Rwanda
Hizo namba RAD za wapi?
Hizo namba RAD za wapi?
Nimeiona habari mashuuda wa ajali zote mbili (Isaka na Shunu) wanasema raia walikimbia baada ya ajali. Lori moja ndio lililoungua.
Nafikiri mtoa mada kaongeza chumvi tu
Jambo la kupongezwa INASEMEKANA POLISI NA ZIMAMOTO WA ENEO HILO WAMEVUNJA REKODI YA KUWAHI ENEO LA TUKIO!
Si aliyeripoti kasema limeanguka na kuwaka moto? Sasa hao waliotamani na kuzuiwa na polisi walitamani saa ngapi, maana hatujaambiwa ulipita muda gani tangy kuanguka na kuwaka motoWalitamani ?
Hiv kwa vifo vinavyoendelea muhimbili bado watu wanatamani?
Hata Mimi naona hapa Luna makosa kwenye uwasilishaji wa taarifaHilo la shunu lilianguka na kulipuka hapohapo so wasigelisogelea nashangaa wanaposema kuwa polisi walimuokoa dereva wakati walikuta kaishatolewa
Ungepita tu na huyo bibi, mimi huwa sirembi nanyooka tu, atajuana na nduguze, ***** zakeNilikuwa naingia kwenye keepleft ( round about) bibi mmoja na kikapu chake akawa anakatiza katikati ya roundabout. Ikanibidi nisimamishe gar ili apite. Sasa ist lililokuwa mkono wa kulia ikaja moja kwa moja na kunigonga ubavu kwa nyuma.
Kwa kuwa gar yangu ipo juu na ngumu, damage haikuwa kubwa kwangu. IST iliyonigonga ikawa imechakalika shoo ya mbele. Sasa akageukia mimi ndye nimlipe.
Tukaenda hadi police. Police wakatoa amri kuwa mimi ndye nimlipe coz yeye alikuwa mkono wa kulia na hairuhusiwi kusimama kwenye round about.
Sasa mpaka leo huwa najiuliza, hivi nisingesimama na ningemngonga huyu bibi kwenye round about kesi ingekuwaaje?
Hatakuandika LORI mkuu wanashindwa. Nimejisikia aibu kusoma andiko la mleta mada. Nini maana ya ROLI?? Anyway tusihukumu.Lori la mafuta ya mawese? ya kujichua? ya transfoma? ya vaseline? ya karanga? ya taa? ya pamba, ya diesel, ya samli, ya petroli, ya ndege, ya alizeti ????
Waandishi wa media zetu shule ndogo sana.
Hebu soma vzr habariSi aliyeripoti kasema limeanguka na kuwaka moto? Sasa hao waliotamani na kuzuiwa na polisi walitamani saa ngapi, maana hatujaambiwa ulipita muda gani tangy kuanguka na kuwaka moto
Mtoa roho amekwisha wasiliana nawe tena! Loh...
Yaani pamoja na watu wa Moro kuteketea kwa moto juzi bado kuna watu huko Kahama walitaka kwenda kuiba mafuta baada ya ajali kutokea! Kweli kusikia kwa kenge...
Petro, Dadavua issues za sheria, acha huu uandishi wa darasa la saba failures. Wewe tunakutegemea kutoa elimu ya sheria for this forum, siyo hii habari uchwara. hii waachie akina Pascal Mayalla and the like! We need thought provoking themes from you! Nasikia GPA yako ni matata! tena from UDSM. Sasa why engage in these petty issues!Kumetokea ajali mbili za malori ya mafuta zilizosababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi kadhaa huko Kahama mkoani Shinyanga.
Katika kile kinachoonekana kama kueleweka kwa somo la kuchukua tahadhari juu ya hatari ya moto, wananchi walitimua mbio wakiacha mafuta ya petroli kutoka kwenye lori mojawapo yakimwagika mtaroni.
Moja ya malori hayo ya mafuta yaliyopata ajali usiku wa jana liliwaka moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja aliyekuwa abiria kwenye lori hilo.
Chanzo: ITV Habari
Hatakuandika LORI mkuu wanashindwa. Nimejisikia aibu kusoma andiko la mleta mada. Nini maana ya ROLI?? Anyway tusihukumu.
Wangewaacha waendeJamii forum (instagram page) wanasema watu walitaka kwenda kuiba mafuta tena
waambie wafyatue bomu la machoziRoli la mafuta linalomilikiwa na Kampuni ya Interpetrol ya Burundi limepinduka maeneo ya jirani ya Isaka.
Kwa mazingira yalivyokuwa pale eneo la tukio iliniwia vigumu kupata japo picha maana Vyombo vya Ulinzi na usalama walizuia.
Jambo la kupongezwa INASEMEKANA POLISI NA ZIMAMOTO WA ENEO HILO WAMEVUNJA REKODI YA KUWAHI ENEO LA TUKIO!