Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Anaogopa kivuli chake kummbuka Hawa wagurugenzi ndio wenye Siri kuu ya ushindi wake hapo mwaka jana
 
RC, DED, DAS, RAS, RC, RPC, RAC, DAC etc piga mahesabu wote wana KILIMO KWANZA V8 kama Maputo bei zaidi ya 300m piga mahesabu Nchi nzima kuna ma RC , RAS , DC, DAS etc wangapi na wote wana hizo ndinga.

Ukija kwenye mashirika ya umma ni mwendo huo huo ,kwenye majeshi mwendo huo huo!!

Ni upuuzi kuwa na migari kibao na midege halafu hakuna ventileta wala panadol hospitalini.
 
Halafu unamkuta mbele ya hadhara akijisifia eti yupo kwa ajili ya wanyonge!! Msafara wake wenyewe tu ni kufuru tupu.

Yaani viongozi wa kiafrika wanaongea tofauti na wanayofanya ,wafanyakazi wa makampuni binafsi wanaolipwa 1.2m hadi 3m wanamiliki magari wananunua kwa pesa zao ,sasa inakuwaje viongozi wakubwa wa serikali.

wanaolipwa mamilioni ya shilingi wasiweze kujinunulia magari yao wenyewe mpaka serikali iwanunulie magari ya milioni 300? Inatakiwa tupate raisi mzalendo atkayekuja kufuta huo ujinga na fedha ikawekezwa kwenye afya,elimu,maji,umeme,barabara etc
 
Hao DED, MD nk nk nk ni Watanzania wenzako kama wewe. Acha kulala ukiumia juu ya Cheo cha Mwenzako na kumwombea Njaa! Pambana Familia yako Watoto Wasome Kisawa sawa shule za Maaana.

Pambana uwe na Pesa Chaffu halafu utapata Connection then wanao ndio Watakuwa hao hao Wenye ma V8 VXR! Kulalalamika lalamika na kuombea wengine njaa ni ishara ya Umaskini na Uchawi Mkuu. Pambana mpaka kieleweke acha wivu!
 
RC,DED,DAS,RAS,RC,RPC,RAC,DAC etc piga mahesabu wote wana KILIMO KWANZA V8 kama Maputo bei zaidi ya 300m piga mahesabu Nchi nzima kuna ma RC ,RAS ,DC,DAS etc wangapi na wote wana hizo ndinga....
Sio kwel kuna madas wanatembelea gar za kawaida tena za donors tu na wala sio V8
 
Hao DED, MD nk nk nk ni Watanzania wenzako kama wewe. Acha kulala ukiumia juu ya Cheo cha Mwenzako na kumwombea Njaa! Pambana Familia yako Watoto Wasome Kisawa sawa shule za Maaana.

Pambana uwe na Pesa Chaffu halafu utapata Connection then wanao ndio Watakuwa hao hao Wenye ma V8 VXR! Kulalalamika lalamika na kuombea wengine njaa ni ishara ya Umaskini na Uchawi Mkuu. Pambana mpaka kieleweke acha wivu!
Wewe ni mnufaika wa mfumo huu.
Lakini mwisho wenu umewadia.
 
Kama mada inavyojieleza,

Tunaona suala la ununuzi wa magari ya Wakurugenzi kwa bei ya anasa limezimwa.
Wazalendo tunajiuliza maswali mengi sana;huenda ni kweli kuwa mheshimiwa rais amewaogopa Wakurugenzi,au Jaffo,au PM
Sasa tunaomba tujue,kati ya hawa,ni nani uliyemuogopa?.

Tunaumia sana mali zetu zinapotumika vibaya,halafu mlinzi mkuu wa mali zetu anakaa kimya,na anasamehe bila sababu mmoja wa watuhumiwa (DED wa Kahama). Mheshimiwa, tuambie.

Unamwogopa yupi?
Kwani hujui kuwa hao ndo waliosimamia wajumbe kushinda uchaguzi
 
Back
Top Bottom