Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 1,882
- 2,000
Wewe ni mnufaika wa mfumo huu.Hao DED, MD nk nk nk ni Watanzania wenzako kama wewe. Acha kulala ukiumia juu ya Cheo cha Mwenzako na kumwombea Njaa! Pambana Familia yako Watoto Wasome Kisawa sawa shule za Maaana.
Pambana uwe na Pesa Chaffu halafu utapata Connection then wanao ndio Watakuwa hao hao Wenye ma V8 VXR! Kulalalamika lalamika na kuombea wengine njaa ni ishara ya Umaskini na Uchawi Mkuu. Pambana mpaka kieleweke acha wivu!
Lakini mwisho wenu umewadia.