Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wakuu
Msichana mmoja huko mjini Kahama amemuua mpenzi wake kwa kumpiga tofali moja matata sana la kichwa.
Baada ya kuzuka ugomvi wao ambao chanzo chake ni wivu wa mapenzi.
Msichana huyo wa miaka 22 alikuwa akiishi na mpenzi wake wa miaka 50.
NB: Wanawake mwaka huu mumetuamulia kabisa mara mtuakate vifanyio mara mtupige tofali za kichwa.
Chanzo: Mwananchi
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Msichana mmoja huko mjini Kahama amemuua mpenzi wake kwa kumpiga tofali moja matata sana la kichwa.
Baada ya kuzuka ugomvi wao ambao chanzo chake ni wivu wa mapenzi.
Msichana huyo wa miaka 22 alikuwa akiishi na mpenzi wake wa miaka 50.
NB: Wanawake mwaka huu mumetuamulia kabisa mara mtuakate vifanyio mara mtupige tofali za kichwa.
Chanzo: Mwananchi
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app