Any way kinacho tokea sasa kingine labda hatukijuwi , wakati wenzetu wana taarifa za ziada ktk hayo mambo ya production, export na declaration ya kilicho zalishwa, thamani yake nkInaelekea Kuna mtu anajaziba ambazo zitakugharimu kama taifa. Wazungu hawanaga cha kupoteza mark my words, hizi siku ambazo hawajazalisha kuna mtu atazilipa