Furaha yako kuona maiti..!?ajali hajafa hata mtu
Wakati mwingine madereva wanawafanyia kusudibodaboda wanashida
Boda boda ni shida alikuwa anaovatekaisee
Mkuu hii nimeishuhudia mwenyewe bodaboda ndio tatizoWakati mwingine maderea wanawafanyia kusudi
Pa1Duuh..shukran mkuu kwa news
Hii bodaboda ndio tatizobodaboda wanashida
Hao si ndio wale wanaotoa kafara mtu mzima mwenye timamu huwezi ongea hivyoFuraha yako kuona maiti..!?
Yaaani huku Kahama ndio kabisaaa nahiv ndio usafiri wetu ni shidah,dizaini kama hakunaga askari wewe mtu anapakia mshikaki anapita mbele ya askari bila shida yoyote hii ni hatari aiseh.hawa Boda boda wasipoangaliwa kila siku wataleta majanga- na hivi tunafanya siasa kwenye ukweli, acha tuendelee kuzika na kuongeza wategemezi. Kila nikiwa barabarani huwa naona upumbavu wa hawa watu, ni kichefu chefu kwa kweli.
Katika barabara kuna magari yenye right of way, hapa kwetu unakuta yuko na kakutukutu kake katikati ya barabara utadhani ana bodi ya chuma. Akipigwa upepo wa basi tu unaoana anapepea kama kipepeo mita saba kwenye mtaro. Ujinga huu japo watu hampendi kuusema.Wakati mwingine maderea wanawafanyia kusudi