nimeongea na mtu wangu wa ukweli kaniambia chadema kahama imefanya vizuri mno!!! Kata zote. Unakuta chadema 200, ccm 20 au 15, huo ndio uwiano. Hureeee!!!
hapo kwenye nyekundu umenifurahisha sana nafungua shmpeni ya kwanza alaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMatokeo zaidi kutoka mbeya
...Mbeya mjini
kalobe sec 1
Dr=109
Jk=97
ubunge
sugu=119
ccm=80
kalobe sec 2
Dr=107
Jk=76
kalobe sec 5
Dr=93
Jk=85
ubunge
sugu=112
ccm=67
Naona sasa watu tunaanza kunena kwa lughaLi chadema itabanya balasi ngwanawane....
Jamani safi sana, japo wasomi wa SUA wametuangusha. Hawakupata ushauri kutoka kwa wenzao UDSM?