Kama ukipata nafasi ya kumshauri kocha wa simba kiufundi je nani aanze kwenye first eleven Kati ya Kagere na Mugalu ungempendekeza nani?
Mana kuna mijadala Mingi inaendelea kwamba Mugalu kazi kuwazuia mabeki wasiende wasipande lakini hafungi ila mk 14 yeye anafunga kwenye baadhi ya mechi.
Je nani apewe nafasi Kati ya Mugalu na Kagere?
Mana kuna mijadala Mingi inaendelea kwamba Mugalu kazi kuwazuia mabeki wasiende wasipande lakini hafungi ila mk 14 yeye anafunga kwenye baadhi ya mechi.
Je nani apewe nafasi Kati ya Mugalu na Kagere?