Ni kutapa tapa tu kwa Yanga,hakuna lingine. Mpira una nidham yake.Kamwe TFF isikubali kupelekeshwa. Kanuni ziheshimiwe,kama Vilabu havina kumbukumbu za wachezaji wao, ni uzembe wao. Hata kama Ndanda,Toto,Stendi,Yanga au timu nyingine ingecheza na Kagera,na kuthibitika kuchezesha mtu mwenye kadi tatu,Kagera angepokonywa.Sijakataa kiongozi la msingi haki itendeke tena mbna siku hizi teknolojia imekua sana Kuna Azam tv wanacd zote z michezo husika kama vipi wafanye marejesho ya hiyo michezo waangalie kama kweli alikua na kadi 3.