Aeronautical
Senior Member
- Jun 19, 2019
- 127
- 137
Habari wana Jamiiforums
Baada ya kuifunga Mbeya city, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Kagera sugar katika uwanja wa kaitaba mkaoni Kagera. Nawakaribisha mashabiki wa mpira wajionee kabumbu nzuri na ya kuvutia kutoka kwa Mabinga wa kihistoria.
Na hiki ndicho kikosi cha leo cha Yanga. Karibuni kwa updates
Updates:
Mapumziko: Yanga 0 vs Kagera Sugar 0
Dakika ya 72: Yanga 1 vs Kagera 0
Mpira umekwisha: Yanga 1 vs Kagera 0
Baada ya kuifunga Mbeya city, leo mabingwa wa kihistoria wa Tanzania tunaenda kucheza na Kagera sugar katika uwanja wa kaitaba mkaoni Kagera. Nawakaribisha mashabiki wa mpira wajionee kabumbu nzuri na ya kuvutia kutoka kwa Mabinga wa kihistoria.
Na hiki ndicho kikosi cha leo cha Yanga. Karibuni kwa updates
Updates:
Mapumziko: Yanga 0 vs Kagera Sugar 0
Dakika ya 72: Yanga 1 vs Kagera 0
Mpira umekwisha: Yanga 1 vs Kagera 0