Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kazi kazi.
Mh Rais ataanza ziara ya siku 4 mkoani Kagera kuanzia Novemba 6.
Katika ziara hiyo atazindua uwanja wa ndege wa Kagera na kutembelea kiwanda cha sukari cha kagera (Kagera Sugar).
Aidha Mh Rais atazindua kituo cha forodha akiwa pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Mseveni.
Hapa kazi tu.
Mh Rais ataanza ziara ya siku 4 mkoani Kagera kuanzia Novemba 6.
Katika ziara hiyo atazindua uwanja wa ndege wa Kagera na kutembelea kiwanda cha sukari cha kagera (Kagera Sugar).
Aidha Mh Rais atazindua kituo cha forodha akiwa pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Mseveni.
Hapa kazi tu.