Katika ya yooooooooooooooooooooooooooooooooote umejua hilo!Wewe nawe unakera na Kiswahili chako cha kirundi. Wamuhulize ndio nini sasa?
Katika ya yooooooooooooooooooooooooooooooooote umejua hilo!Wewe nawe unakera na Kiswahili chako cha kirundi. Wamuhulize ndio nini sasa?
Kama alivyowabomolea wa Kimara waliochagua Chadema!Blazaaa... Si keshasema nyinyi huko kwengine hamkumchagua!! Au hamkumwelewa!!
Wacheni bangii !Sijuhi mkoA wa Mara uliwakosea nini hawa watawala wa ccm!
Huyu kaanza kampeni mapema, uwanja wa ndege unatumika miaka sasa eti anenda kuuzindua!Kazi kazi.
Mh Rais ataanza ziara ya siku 4 mkoani Kagera kuanzia Novemba 6.
Katika ziara hiyo atazindua uwanja wa ndege wa Kagera na kutembelea kiwanda cha sukari cha kagera (Kagera Sugar).
Aidha Mh Rais atazindua kituo cha forodha akiwa pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Mseveni.
Hapa kazi tu.
Ndio.Katika ya yooooooooooooooooooooooooooooooooote umejua hilo!
HopelessSijui watampokea watu wa katerero na ngono,si walikuwa na mkosi huko?ukimwi,tetemeko n.k
Mbeya Rais wenu Sugu,alafu hamkumpigia kura!Same regions. Why not Mbeya????
Awapi mkuu tena wajiandae kisaikolojia lazma awape kubwa kulikoTunataka atuambie::
1. Je, atarudisha fedha za fidia za Wahanga wa Tetemeko la ardhi?
2. Je, ataomba radhi kwa matusi allyowatukanawana Kagera...?
Yupo hapo katulia ana update anti virusJamaa anataka kwenda chato tu zote ni zuga zuga
Wabongo huwajui!!,wameshasahau tayari leo utatuona tukiwa kwenye jezi za kijaniTunataka atuambie::
1. Je, atarudisha fedha za fidia za Wahanga wa Tetemeko la ardhi?
2. Je, ataomba radhi kwa matusi allyowatukanawana Kagera...?
Si ndo zile D bashite kanunulia ile pedo na raba alovaa majuziKagera wamuhulize pesa za rambirambi ziko wapi?
Mshituko
Swissme