Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,198
- 6,416
Habari zenu wana JF.
Mwanamke moja mkoani kagera amemuua na kumzika mwenzie shambani walipokuwa wakifanya kazi akidai anapendwa zaidi na mume kuliko yeye. Bibi mkubwa alimuua bibi mdogo na muuaji anashkiliwa na polisi.
Source ITV habari ya saa tano usiku.
Mwanamke moja mkoani kagera amemuua na kumzika mwenzie shambani walipokuwa wakifanya kazi akidai anapendwa zaidi na mume kuliko yeye. Bibi mkubwa alimuua bibi mdogo na muuaji anashkiliwa na polisi.
Source ITV habari ya saa tano usiku.