mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,403
- 423,428
Yaani kagera kila janga lao dah huu mkoa ni shida kweli
Basi utakuwa fireHahshaaaa! Uwo siyo moto
Dah mdogo wangu! Siku hizi sikusomi kabisaUmekosa adabu
Huna aibu wala soni
Hujafunzwa kwenu?
. Acha utani.Sirikali itoe namba tutume michango...
Umakini huu hauwezi kukuacha salama!!Sasa 'Bwana Jerry Springer' hapo wewe si Umeandika au Umetamka?
Sasa wewe hapo umetamka au umeandika?Inatamkwa "waaya"
Nyinyi ndio mnasema wahaya
halafu anawasanifu ndg zake.NI wa kupuuzwa huyu na inaonyesha hajui hata bei ya tofali huyu ndo anasanifu binadamu wenzie.Rugambwa oli mufela mno.
Mkuu,kuwa na staha na makazi ya watu. Kwao hizo ni nyumba.
0714919809Sirikali itoe namba tutume michango...
Maneno hayo aliwahi kusema mkuu wa Wilaya Kahama wakati anawaambia wananchi wa Mwakata, nyumba zilibomolewa na mvua ya mawe. Naona jamaa nia yake ni kukumbusha jinsi viongozi tuliwaweka walivyo na nyodo.Mkuu,kuwa na staha na makazi ya watu. Kwao hizo ni nyumba.
Pesa zitumwe kupitia Mkuu wa Mkoa wa Arusha zitafika salama salimini.Sirikali itoe namba tutume michango...