JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,200
- 4,991
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kagera una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Bukoba Mjini: Wilfred Lwakatare (CHADEMA)
Bukoba Vijijini: Rweikiza Jasson (CCM)
Biharamulo: Oscar Rwegasira Mukasa (CCM)
Karagwe: Innocent Luugha Bashungwa (CCM)
Kyerwa: Innocent Sebba Balikwate (CCM)
Muleba Kusini: Prof. Anna Tibaijuka (CCM)
Nkenge: Deodorius Kamala (CCM)
Ngara: Alex Gashaza (CCM)
Muleba Kaskazini: Charles Mwijage (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Muleba Kaskazini UDIWANI: CHADEMA kata 5, CCM 13
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kagera una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Bukoba Mjini: Wilfred Lwakatare (CHADEMA)
Bukoba Vijijini: Rweikiza Jasson (CCM)
Biharamulo: Oscar Rwegasira Mukasa (CCM)
Karagwe: Innocent Luugha Bashungwa (CCM)
Kyerwa: Innocent Sebba Balikwate (CCM)
Muleba Kusini: Prof. Anna Tibaijuka (CCM)
Nkenge: Deodorius Kamala (CCM)
Ngara: Alex Gashaza (CCM)
Muleba Kaskazini: Charles Mwijage (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Muleba Kaskazini UDIWANI: CHADEMA kata 5, CCM 13