Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
Uzuri ni kwamba wameanza kufunguka kiakili na kutambua hizo njama, kwahiyo muda utafika.Bora kagera ingekuwa nchi kwani kwa ukubwa unazidi Rwanda na burundi kuliko manyanyaso haya inayopitia, haiwezekani inapakana na nchi nne bado ni maskini. Haya matendo Mungu anawaona chuki zidi ya mkoa huu zinazidi jamani