Kagera kupoteza Billion 53. 4 kwa mwaka mauzo ya dhahabu kama itamegwa na kutengeneza Mkoa wa Chato

Yanasaidia ujenzi wa miundo mbinu, ikitokea bajeti fulani na mkoa kafanya vizuri kwa makusanyo kuna pesa inabaki kusaidia kuondoa umaskini kuliko mkoa usiozalisha kitu.
Miaka yote wameshindwa hata stendi ya mabasi,bora ziende kusaidi wengine, viongozi wa mkoa wa kagera ni Mafisadi tu, mkoa unazidi kuwa masikini pamoja na kuwa na lasmali za kutosha,kuna mto mkubwa kagera,ziwa Victoria,lkimba na Burigi,kuna mazao ya biashara kibao,miwa ,kahawa ndizi miogo,mabonde ndio usiseme, sasahivi wasukuma wengi wameamia kagera kulima mpunga,alafu eti miongoni mwa mikoa masikini,ujinga mtupu
 
Mkuu nakumbuka sana mradi wa Mto Ngono ulivyo pigwa chini kiaina, licha ya kupata wafadhili kutoka Sweden - Sokoine kaingia Bungeni kwa kuzuga kwamba Serikali itashughulukia mradi huo hivyo hakuna haja mataifa ya Scandinavian kushugulika na mradi huo, watu wenye akili walijuwa ndio basi tena, na kweli mradi ukafa kifo cha mende, bottom line, is: Sokoine was not alone katika crusade hiyo, mbinu hizi bado zinakuwa carried forward latently mpaka leo.

Kisa kingine cha kusikitisha kinahusu uanzishaji wa University of Bukoba, Waziri wa Elimu wa wakati huo Mh.Ngwandu aliipiga vita kweli kweli kwa kumanufacture lame excuses chungu nzima licha ya Chuo kuwa na majengo na ma lecturers wenye viwango, kaingia Bungeni akaanza kubeza beza University of Bukoba (akasema "eti University of Bukoba") anayesema hayo Bungeni, just imagine!! Anakazania hilo lakini suala la uanzishwaji wa Chuo Kikuu cha tiba cha Wahidi UMTI ambacho kilikuwa na walakini mkubwa na kilikuwa kitumie majengo mawili tu ya NDC, hilo Ngwandu hakulizungumzia alikaa kimya - mawazo yake yote yalilenga kuzima uanzishwaji wa Chuo kikuu cha Bukoba - vita hii inaendelezwa mpaka leo hata matawi ya Vyuo Vikuu vya taasisi za Dini navyo vimefungiwa karibu vyote kwa visingizio eti vimeshindwa kukidhi vigezo - ulaghai mtupu wanataka Mkoa ubaki vile vile.
Tumenyanyaswa siku nyingi kwa sababu za uoga tu.
 
Miaka yote wameshindwa hata stendi ya mabasi,bora ziende kusaidi wengine, viongozi wa mkoa wa kagera ni Mafisadi tu, mkoa unazidi kuwa masikini pamoja na kuwa na lasmali za kutosha,kuna mto mkubwa kagera,ziwa Victoria,lkimba na Burigi,kuna mazao ya biashara kibao,miwa ,kahawa ndizi miogo,mabonde ndio usiseme, sasahivi wasukuma wengi wameamia kagera kulima mpunga,alafu eti miongoni mwa mikoa masikini,ujinga mtupu
Ni kweli viongozi ni fisadi, na watendaji wengi wa serikali Kagera ni watu wenye hila sana na wahaya kwahiyo wengine ukwamisha makusudi. Kuhusu stendi serikali lazima itoe go ahead pia, huamki tu na kujenga stendi, tumepiga kelele sana kuhusu stendi na ilikuwa imeshaanza kujengwa ghafla mradi umesimamishwa.
 
Miaka yote wameshindwa hata stendi ya mabasi,bora ziende kusaidi wengine, viongozi wa mkoa wa kagera ni Mafisadi tu, mkoa unazidi kuwa masikini pamoja na kuwa na lasmali za kutosha,kuna mto mkubwa kagera,ziwa Victoria,lkimba na Burigi,kuna mazao ya biashara kibao,miwa ,kahawa ndizi miogo,mabonde ndio usiseme, sasahivi wasukuma wengi wameamia kagera kulima mpunga,alafu eti miongoni mwa mikoa masikini,ujinga mtupu
Stand ya ka,I gani wakati wahaya wakishuka kwenye ndege wanachukua UBA au Bolt au Taxii Kuwait senene akaselu, au kuwahi midizi na mnyama ya kuku wa kienyeji huku wakishushia Heineken au malinga.
 
Kumbuka kwenye mapato ya kuendeleza miji kuna fedha zinabaki kwenye mfuko wa maendeleo. Tangia bukoba Kagera ibomolewe na vita vya didi amini haijapata hauweni kila siku visa vipya yaani
Kagera ilishindwaje kuendelea toka enzi hizo na hizo 54B plus kabla ya kuamliwa kumegwa? Kwani ikimegwa inapelekwa Rwanda au Bujumbura kuwa hizo pesa zinaenda serikali kuu ya huko?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Serikali inayajua yote hayo,Lengo la serikali ni kuhakikisha mkoa unabaki pale pale kwa lengo lao ambalo siwezi liandika hapa, Kagera hata iwe na maendeleo kiasi gani au ichangie GDP kiasi gani utakaa uone imetoka kwenye ORODHA ya mikoa masikini, huo ni mkakati ulisukwa na ukasukika. Miradi yote ya kagera inayotaka kuleta mapinduzi ya maendeleo ukwamishwa makusudi. Mpango wa mkoa wa chato ni Serikali na wala sio takwa la watu wa Biharamulo na Ngara, lengo lao madini yasibaki mkoa wa KAGERA. Kagera zaidi 80% uchumi wake unategemea Uganda na huduma au bidhaa wanazotumia ni za Uganda hata umeme kagera inatumia wa kutoka Uganda Kwa asilimia kubwa, JPM alikuwa amepiga marufuku kuuza kahawa Uganda hali ilikuwa mbaya.
Mkuu nakumbuka sana mradi wa Mto Ngono ulivyo pigwa chini kiaina, licha ya kupata wafadhili kutoka Sweden - Sokoine kaingia Bungeni kwa kuzuga kwamba Serikali itashughulukia mradi huo hivyo hakuna haja nataifa ya Scandinavian kushugulika na mradi huo, watu wenye akili walijuwa ndio basis tu, na kweli ukafa kifo cha mende, bottom line, is: Sokoine was not alone katika crusade hiyo, mbinu hizi bado zinakuwa carried forward latently mpaka leo - kisa kingine cha kusikitisha kinahusu uanzishaji wa University of Bukoba, Waziri was Elimu wa wakati huo Mh.Ngwandu aliipiga vita kweli kweli kwa kumanufacture lame excuses licha ya Chuo kuwa na majengo na ma lecturers wenye viwango, kaingia Bungeni akaanza kubeza beza University of Bukoba, anayasema hayo lakini suala la uanzishaji wa Chuo kikuu cha tiba cha Wahidi UMTI ambacho kilikuwa na walakini mkubwa na kilikuwa kitumie majengo mawili tu ya NDC hilo Ngwandu hakulizungumzia alikaa kimya - mawazo yake yote yalilenga kuzima uanzishwaji wa Chuo kikuu cha Bukoba - vita hii inaendelezwa mpaka leo hata matawi ya Vyuo Vikuu vya taasisi za Dini navyo vimefungiwa kwa kisingizio eti vimeshindwa kukudhi masharti ya kuendelea kuwepo - lengo lao, wanataka Mkoa wa Kagera uendelee kubaki nyuma daima DUNI.
 
Wana Jf,

Kama utabiri ukitokea uenda Kagera ikapoteza fedha nyingi kwa kile tunachokiita upuuzi wa mwombolezaji mmoja toka Chato. Chato imebebwa na Kagera miaka mingi tangia falme mpaka kuwa wilaya kamili. Sasa hawa jamaa wanaleta unazi kuwa kila kiongozi mkuu apewe anachohitaji, kwa njia hii tutakuwa na mikoa mia moja yaani.

Ona sasa Kagera inaenda kupoteza million 53.4. Alafu mje meme wahaya hawapendi kujenga kwao kumbe wanahujumiwa lila waliotaka kumbuka.

Nakuomba mama cabana na yule mzee labda dish lilicheza yakamtoka. Tuiachie lagers yao imeumizwa mno na majanga mengi . Tetemeko, ukimwi, MV. BUKOBA, MNYAUKO elinino haya yote yamepita, bado hii adhabu ya kumegwa , wanakagera wamekataa, msilete chuki hata kama Tanzania ni moja

View attachment 2023247
Wakati JK anaunda Mkoa wa Geita na Simiyu, Mwanza ilipoteza Wilaya ya Geita, Nyang'wale (ambazo zilihamia Mkoa wa Geita), na Sehemu ya Magu (Busega) iliamia Simiyu.

Geita ambayo ina mgodi mkubwa wa GGM uliondoka mkoa wa Mwanza. Haya mapato ya bil 53.4 hayaendi Rwanda au Burundi, yatabaki Tanzania na kwenye halmashauri za Wilaya husika kugusa Watanzania. Ni hoja dhaifu sana eti Mkoa wa Kagera unapoteza mapato wakati in essense makusanyo ya ndani huwa yanabaki kwenye halmashauri ya wilaya husika na mapato mengine kwenda mkufuko mkuu TRA. Na kwa mfumo wa sasa wa money control number mtu kulipa akiwa popote na madam SSH akaweza kujua kwa takwimu kwa siku bei gani imeingia kwa IPAD yake, huu sio muda wa kilia eti, mapato yanapungua as if wanaotumia ni Wakongo au Wazambia.
 
kumbe shida ni mapato ya madini ya kabanga nichael .Ndo wahaya waote walikuwa wnapinga wilaya ya biaharmulo inayopakan na Chato pamoja na Ngara kutengeneza mkoa wa chato..Yaani wahaya wanakomaa kama hizo nichael zitaleta maendeleo Bukoba kuliko ngara na biharamulo
Hayo kayasema nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom