Kagera kama Arusha!!

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,049
24,428
Arusha hivi sasa ni ngome kuu ya upinzani na CCM wanahaha sana kulikomboa jimbo la Arusha jambo ambalo ni ngumu na kiuhalisia kuingia mikononi mwa CCM!
Sasa kwa yaliyotokea Kagera tusitegemee jimbo hilo kurudi mikononi mwa CCM, itakuwa ngome nyingine kuu ya upinzani, na CCM itakuja kutumia nguvu kubwa mno kuikomboa..!!!
 
Arusha hivi sasa ni ngome kuu ya upinzani na CCM wanahaha sana kulikomboa jimbo la Arusha jambo ambalo ni ngumu na kiuhalisia kuingia mikononi mwa CCM!
Sasa kwa yaliyotokea Kagera tusitegemee jimbo hilo kurudi mikononi mwa CCM, itakuwa ngome nyingine kuu ya upinzani, na CCM itakuja kutumia nguvu kubwa mno kuikomboa..!!!
Sidhani kama Wahaya wana dhamira kama Arusha!
 
Tutakufa masikini lakini tape zake tunaziweka, tutaziweka hewani tena 2020. Aende Dom akapate kura na si manispaa yetu, hatumpi na hatutampa katu.
 
Tutakufa masikini lakini tape zake tunaziweka, tutaziweka hewani tena 2020. Aende Dom akapate kura na si manispaa yetu, hatumpi na hatutampa katu.
Ahsante sana, nawakubali sana watu wanaoelewa kuwa hili dubwasha jinsi lilivyoshida!!
Naamini hata mbili hapati...
 
Back
Top Bottom