Kagera haiendelei, Kagasheki alisingiziwa kuiba hela ya WIPO akishirikiana na mtoto wa Koffi Anan

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,634
29,997
Mwaka 1995 Bukoba
Mpango wa kufungua Bukoba University Chini ya Askofu wa KKKT figisu zilitoka kwa meya wa mji wa kipindi hicho na baadhi ya watu wanaojifanya wanafundisha Middlesbough University Professor Muhumuza na Professor wa Bristol University Kachwamba Kwamba kwa mujibu wa vyuo vikuu hii haikidhi vigezo na wakasumbua sana mpaka mpango ukasitishwa.

Mwaka 2000 NA 2001 wakati wa ujenzi wa hotel ya WALK GUARD kule kashura kulizuka matata sana kwamba kiwanja si chake na kwamba atakuwa kaiba hela serikalini na wengine wakaenda mbali wakasema kwamba Mwanamziki wa zamani Justine Kalikawe kauwawa na mwenye hotel hiyo na kufanywa msukule hivyo watu wasimuunge mkono kumalizia ujenzi huo.

Mwaka 2005 akaja Khamis Kagahseki mzee wa busara, akaanza kurekebisha mji na kuuweka kwenye standard maneno yakaanza tena kwamba Kaiba hela ya WIPO akishirikiana na mtoto wa Kofii Annan ni hela ya watoto yatima ya kusaidia Africa kwamba Bwana Kaghasheki Swahiba na Koffi Junior

Mipango mingi ikaingiliwa na wanafiki mpaka akshindwa kukabili matatizo yote ya wanakagera.

Mzee Rugemalila kataka kufungua Hospitali kubwa. Wanashangilia sasa hivi kwamba ngoja aonje umasikini na yeye, mtu alijitolea kujenga hospitali ya kimatifa lakin mnashangilia kukamatwa kwake.
 
Umekunywa pombe ya Rubisi na Senene. Maana unatoka Gas sana
 
Hapo kwa KATO alokimbilia usukumani pafafanue kidogo aisee.
Maana panaonekana ni interesting story
kato haumjui ok Ukoo wa wazila nkende ambao yeye hutokea ndio ukoo wangu pia kwa kigoma wanaitwa wajiji wazilankende na wanawaweke huitwa wajiji kazi au wazilankende kazi ni ukoo ulio katika nchi za Uganda, Rwanda , Burundi, na kwa tanzania hupatikana Kagera na kigoma tu.
 
kato haumjui ok Ukoo wa wazila nkende ambao yeye hutokea ndio ukoo wangu pia kwa kigoma wanaitwa wajiji wazilankende na wanawaweke huitwa wajiji kazi au wazilankende kazi ni ukoo ulio katika nchi za Uganda, Rwanda , Burundi, na kwa tanzania hupatikana Kagera na kigoma tu.
hahaha jamaa anataka kumjua kato
 
huyo kato Baba yake muhaya kabisa lakini baada ya mama kuolewa usukumani akabadili na kabila kwa madai ya kutelekezwa na kabila la mama yake lakini sifa zote, majigambo ni za wahaya anazo sema ukanda wa kagera wanaongea na kuingiliana lugha so akipiga kisukuma utadhani kweli msukuma lakini biharamuro, ngara, karagwe, muleba, Bukoba huko sii nyumbani kwa msukuma.
 
Sasa na huyu wa Usukumani hajaanzisha ukoo tu ili usukumani napo pawe kwenye orodha ya sehemu unapopatikana huo ukoo wa wazira nkende?
ukoo haujianzishii mwenyewe ukoo unarithi ukoo wa muro hauwezi kua wa kimario au muro hawezi kua urio na ukoo wa mwamwindi iringa hauwezi kua wa kiyeyeu au mkwawa kwa iringa kwa songea ukoo wa mapunda hauwezi kua ukoo wa komba na ukoo wa shilinde hauwezi kua wa masanja kwa mwanza.
 
Kuna kaukweli fulani hivi kuhusiana na hulka zetu sisi watu wa Kagera. Siku hizi kwenye makundi ya whatsapp tunajidai kuwa wamoja na wenye lengo moja lakini kwa ukaribu kabisa, tabia ni zile zile za kusimangana na kuombeana mabaya.

Mtu wa Kagera unamtoa kijijini kabisa, unamsomesha, anafaulu mitihani na kuanza kuishi, halafu anakuwa wa kwanza kuuza siri zako kwa maadui zako kibiashara au kitaaluma!!, hata kwa majirani ambao kama sio wewe asingewafahamu!!.

Yah, vitabia vya watu wa Kagera, ni kikwazo cha maendeleo ya mkoa mzima.
 
Kuna kaukweli fulani hivi kuhusiana na hulka zetu sisi watu wa Kagera. Siku hizi kwenye makundi ya whatsapp tunajidai kuwa wamoja na wenye lengo moja lakini kwa ukaribu kabisa, tabia ni zile zile za kusimangana na kuombeana mabaya.

Mtu wa Kagera unamtoa kijijini kabisa, unamsomesha, anafaulu mitihani na kuanza kuishi, halafu anakuwa wa kwanza kuuza siri zako kwa maadui zako kibiashara au kitaaluma!!, hata kwa majirani ambao kama sio wewe asingewafahamu!!.

Yah, vitabia vya watu wa Kagera, ni kikwazo cha maendeleo ya mkoa mzima.
kabisa mwingine anakusema kwa watu kwamba huyu hana kitu lakini akipata shida anakulilia kabisa wakati umeyajua mambo aliyokusema yaan inashangaza
 
Back
Top Bottom