SniperBoi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,103
- 1,125
Bweni la wavulana katika shule ya sekondari ya Tweyambe inayomilikwa na shirika la maendeleo la TIDESO wilayani Missenyi Mkoani Kagera limeteketea kwa kuungua moto ,huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana .
Kwa mujibu wa makamu Mwenyekiti wa shirika hilo Mwalimu Habibu Mwijage hakuna mwanafunzi aliyedhurika kutokana na moto huo ambapo wakati ukitokea wanafunzi wote ishirini na sita wanaotumia bweni hilo walikuwa katika vyumba vingine vya masomo ya ziada
chanzo star tv
Kwa mujibu wa makamu Mwenyekiti wa shirika hilo Mwalimu Habibu Mwijage hakuna mwanafunzi aliyedhurika kutokana na moto huo ambapo wakati ukitokea wanafunzi wote ishirini na sita wanaotumia bweni hilo walikuwa katika vyumba vingine vya masomo ya ziada
chanzo star tv