Kichancheda
Senior Member
- Oct 29, 2012
- 142
- 46
acheni utoto nyie kwani uiwa na dala dala yako ikakamatwa kwa kuiba route au kuvunja sheria yeyeote barabarani unatakiwa ukamatwe au kuhukumiwa wewe?heb tuache ushabiki na tuwe fair sometimes
KHAAA! Unafananisha na daladala?? Hakuna mtu mdogo mwenye ujasiri wa kufanya biashara ya hatari kubwa kama hiyo.Mali za MABILIONI tena yanavyuka mipaka yenye kila aina ya ukaguzi! Hatakama unamapenzi na serikali ya ccm jaribu hata kufungua akili zako za akiba! Sio ushabiki kwa maslahi yako hizi ni rasilimali za nchi kila mtu anastahili kuuliza na kukosoa