Kagasheki: Tanzania haiko chini ya utawala wa kijeshi. Askari kumtolea bastola raia.

Ndio mkome kukabidhi nchi kwa mtu mmoja watu wanashangaa sasa lakini hawakumbuki kwenye kampeni 2015 alikuwa anasema serikali ya magufuli itafanya hivi ama vile mlijua anaiokoa ccm tuu ehh kwa taarifa yenu aliichukua na nchi nzima mikononi mwake kazi mnayo kuirudisha tena kwa wananchi maana kwa sasa ni ONE MAN SHOW anaamua kuteua ama kufukuza tuu apendavyo mambo ya uchumi na njaa zenu haimuhusu
 
Ni kweli ulichokisema.

Lakini mwanausalama alikuwa 'calm' tena aliongea kwa upole 'Mheshimiwa rudi kwenye gari..', Wakati huo Mh. Nape akiwa amevaa shati bila kuchomekea na ameweka mikono yote mifukoni (kulia na kushoto); baadaye anasikika (Nape) akimwambia mwana usalama " ....usinishike hivyo Bwana, ondoka" wakati huo anamsukuma mwanausalama kwa mkono wa kushoto lakini mkono wake wa kulia ukiwa bado humo mfukoni; kwa akili za kawaida...askari lazima ajihami maana huo mkono wakulia wa Nape ambao umo mfukoni hajui umeshika nini. Na hata Nape alivyosukumwa sukumwa hakutoa mkono huo wa kulia mpaka (labda) alipohakikiusha kuwa sasa mfuko wa kulia wa suruali lake umezibwa na gari ndipo alipotoa mkono mfukoni. Na watu wakaongezeka pale...!

Naliona hivyo tukio hili. Lakini maelezo mazuri anaweza kuyatoa mwanausalama mwenyewe kwa nini alifanya vile.

Mbona huzungumzii aliomba kuonyeshwa kitambulisho? Au umechagua makusudi kuacha sehemu hiyo ili kufanikisha unachotaka kutuaminisha?
 
Ukihusisha na tukio la bashite lililotokea clouds media,huko tunakoelekea tutaanza kusikia raia wanapigwa miguu ya bata
full kubabuana,mtu unaombwa kitambulisho.....unatoa chuma,kama pangetokea pulukushani mtu angemwagwa
 
Kuna haja ya askari kuajiriwa kwa kuzingatia elimu zaidi ya manyamanyama na urefu
 
SIAMINI kama ni askari lakini Kagasheku si huyu wa Operesheni TOKOMEZA?
 
Ameshiriki mipango mingi sana kuimaliza upinzani lakini hayo tuache tujadili nguvu kubwa sana ya Jeshi la Polisi inayotumiwa kwenye mambo ambayo hayataji nguvu hiyo
Yes, haikubaliki kabisa police kutumia nguvu kama tulivyoona kwa nape, lakini kuna kitu chakujifunza hapa hasa kwa wenzake waliobaki.
Kwamba the way wanavyo agiza dola kushugulikia upinzani, ndio wanavyowazoesha police kuona kama ndio hakiyaokutumia nguvu tu hata katika mazingira ambayo nguvu hazihitajiki.

My take, yeye nape asilalamike saaana kanakwamba hajui wanachofanya police.
Anafahamu fika kwamba alivyofanyiwa ndivyo hivyo wanavyo fanyiwa upande wapili.
Mkuki kwa ngurue....!!

let's be honesty.
 
Yes, haikubaliki kabisa police kutumia nguvu kama tulivyoona kwa nape, lakini kuna kitu chakujifunza hapa hasa kwa wenzake waliobaki.
Kwamba the way wanavyo agiza dola kushugulikia upinzani, ndio wanavyowazoesha police kuona kama ndio hakiyaokutumia nguvu tu hata katika mazingira ambayo nguvu hazihitajiki.

My take, yeye nape asilalamike saaana kanakwamba hajui wanachofanya police.
Anafahamu fika kwamba alivyofanyiwa ndivyo hivyo wanavyo fanyiwa upande wapili.
Mkuki kwa ngurue....!!

let's be honesty.
Nakuunga mkono mkuu hoja yako
My take, yeye nape asilalamike saaana kanakwamba hajui wanachofanya police.
Anafahamu fika kwamba alivyofanyiwa ndivyo hivyo wanavyo fanyiwa upande wapili.
Mkuki kwa ngurue....!!

let's be honest
 
KWANI BASTORA inatakiwa kuoneshwa wapi? ukizingua hata hadharani inatoka tuu nyie karirini hivyo vi sheria halafu mje mzingue .
Wewe utakuwa umeshanganyikiwa
hujui chochote bora ungekaa kimya.
 
Mbona huzungumzii aliomba kuonyeshwa kitambulisho? Au umechagua makusudi kuacha sehemu hiyo ili kufanikisha unachotaka kutuaminisha?
maneno ya kitambulisho yalitolewa kabla ya haya niliyoweka hapa...ni baada ya Mh. Nape kutamka haya ndipo mwanausalama alijihami hasa baada ya kusukumwa.
 
MTU unaombwa kitambulisho unatoa silaha anajionyesha alivo mweupe kichwani, au alitaka kuuza sura tu,silaha utolewa pale uonapo usalama wako uko hatarini na ni solution ya mwisho baada ya mbinu zote kushindikana,
 
Back
Top Bottom