palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Unaieleza vipi, na unatetea vipi, kontena lenye meno ya ndovu, wanakwambia kwamba origin yake ni bandari ya Dar es Salaam? Pale bandarini, kuna vyombo mbalimbali --kuna polisi, kuna customs TRA, kuna watu wa pori wenyewe, kuna watu wa usalama, na kadhalika -- kontena linatoka na meno ya ndovu, linakwenda kukamatiwa Hong Kong, linakwenda kukamatiwa Philippines, linakwenda kukamatiwa Vietnam. Kama yapo masuala ya msingi jamani tujiulize, kontena linatokaje? Utaratibu ni upi wa kontena kutoka nchini? Tusaidiane. It is risky, kuna pesa nyingi, lakini some people inabidi wafanye wanavyoweza kufanya for the future of the country, lakini pia, vizazi vijavyo vitatuhukumu kwa...
Last edited by a moderator: