Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
.
- Ala Kagasheki kumbe ni mnafiki? au ni wewe ndiye mnafiki unajisema? Labda ufafanue kidogo hapo mkuu?
- Malecela hana sababu ya kung'atuka maana wananchi wa jimbo lake bado tunaridhka naye, na hajasema anataka kutoka kama Kagasheki kwamba anatafuta ubalozi., au?
Ahsante.
William.
Hivi haya maneno ya "wananchi" bado tunaridhika naye au ni "wewe" as individua unaridhika nayel! Dont generalize and reach a conclusion on national issues William!Unanikumbusha kuanzishwa vyama vingi wakati it was said that "wananchi hawataki vyama vingi"!Hizi slogan bado zipo tu!