William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Una maanisha nini hapa? Maana wewe mwenyewe umesema anataka ubalozi sasa hapo kama si kuhama tu sehemu lakini kubaki kwenye uongozi ni nini?
Mkapa alikua raisi, the highest post, whichh means he had no where else to go but down kama angeamua kutafuta nafasi nyingine. Na uraisi una terms siyo kama ubunge sasa hata angetaka kugombania tena nani ange mruhusu?
?????? Wewe nani kakuambia nataka kugombea hilo jimbo? Habari hizo nasikia kwako wewe unasema wameni pakazia, wakina nani wameni pakazia unaweza kufafanua? Wapi umesikia nataka kugombea huko na umeambiwa na nani?
- Mkapa alijaribu kutafuta term ya tatu, cabinet wakamtolea nje hasa Mwandosya na Sumaye,
- Kama hukuwa na mpango wa kugombea hamna noma mkuu.
Respect.
FMES!