Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Ndugu acha uongo wako hapa kuhusu lengo la kikao hicho!
Labda kama unaongeza thread tu
Mimi natoka kwenye kikao hicho,nilikuwepo mwanzo hadi mwisho,kikao hicho hakikuwa cha agenda hiyo,Kilikuwa cha waendesha pikipiki wakijadioli hatima yao kuhusu mambo ya leseni za biashara na matatizo yao na polisi na wameweka mikakakati fulani baada ya vijana kulalamikia jeshi la polisi.
Agenda ya slaa wala kuongelea issu hiyo haikuwepo kabisa,
Tatizo la wabongo kila kitu wanakihusisha na suala jipya linalojitokeza au kukaribia kujitokeza.
Kunguru alisema "Binadamu hana kibiongo, ukiona anainama ujue anaokota jiwe".