Kama kawaida,mbunge wa jimbo la bukoba mjini balozi Khamis Kagasheki baada ya kukutana na waumini Kikirsto na kutoa misaada mbalimbali sasa ametoa swadaka ya mazulia (miswala) ,vitabu na mavazi katika misikiti iliyoko jimboni bukoba na kwenye baadhi ya madarasa ikiwa ni maandalizi ya ya waislam kujiandaa na ibada ya mwezi mtukufu wa ramadhani.
Hii ni jadi ya Mbunge huyu na amekuwa akifanya hivyo bila kujali imani ya watu wawe wakristo,waislam,wapagani na wasio na dini katika jimbo na ameshiriki katika shughuli zao za kijamii.
Kwa wakazi wa Bukoba,Kagasheki ni Zaidi ya Mbunge.
Hii ni jadi ya Mbunge huyu na amekuwa akifanya hivyo bila kujali imani ya watu wawe wakristo,waislam,wapagani na wasio na dini katika jimbo na ameshiriki katika shughuli zao za kijamii.
Kwa wakazi wa Bukoba,Kagasheki ni Zaidi ya Mbunge.