hivi ilikuwa ni confrontation ya machinga na mgambo ama polisi? i thought iliripotiwa to be vs police waliokuwa eneo lile kuzuia machingas wasisogee na kufungua biashara zao!
Machinga na Mgambo imekuwa hivyo sio Jeshi la CCM linaloongozwa na kamanda wao Mwema?
Au kwa kuwa Chadema wanogoza jiji la Mwanza basi Polisi wanitwa Mgambo? Haya makubwa
Tatizo sio machinga bali ni madeleva wa daladala ndio waliosababisha baada ya kufungwa kwa kituo cha chai, kituo ambacho huwa kina machinga wengi sana nadhali wamekifunga ili machinga wahame eneo hilo kwa kuwa huwa kunakusanya abiria wa maeneo mbalimbali ya jiji la mwanza. Machinga na waendesha daladala huwa ndio sehemu yao kuu ya kujipatia ridhiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.