Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Hali ya upinzani na wasiwasi ni tete nchini Rwanda na kwa dikteta Kagame. Kwa mujibu wa habari toka DW mchana wa leo bwana Kagame amefanya mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri na kumuondoa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi.
Amesikika akiweweseka kuwa atamkamata mtu yeyote na kumpeleka sehemu inayo takiwa kama wataendelea kuleta upinzani ktk serikali yake. Huyu bwana ndiyo Rais anayependa kuua upinzani na kudhani kuwa atakuwa Salama akifanya uchaguzi uchwara na kukamata kamata wapinzani wake na wengine kupotezwa kutekwa na kuteswa.
Amekuwa na tabia ya kujitangaza na kujitukuza anawaletea watu maendeleo utafikiria pesa hizo anatoa ktk akaunti ya baba yake mzazi. Anapenda vyombo vya habari vimtangaze na kumsifu yeye tuu kuwa anapendwa anaongoza vizuri. Akisifiwa namna hiyo basi lile Bichwa lake linakuwa kubwaa kama jamaa yake mmoja hivi anaye jifunza kupitia notes zake.
Tetesi zinasema bwana Kagame husafiri kwenda kutoa mafunzo ya udikteta kwa mwanafunzi wake mmoja katika nchi moja ya kijamaa ambayo ipo pembezoni mwa Bahari ya hindi huko kwa Marofa Ulaya Mashariki.
Tunamuonya sana huyu mwanafunzi wa Ukagamelizimu wabena wanamuta "Igangi ilonga" atapotea. Usicheze na Peoples' Power. Wanao kulinda sasa hivi na kukudanganya kwamba wewe upo imara, na kukuimbia mapambio ndio watakao kukamata na kukupiga Tanganyika jeki halafu mbele ya pilato liwali Mrumi utafikishwa. Utalia sana na kusaga meno. Tutakupiga wala hatitakuonea huruma.
Amesikika akiweweseka kuwa atamkamata mtu yeyote na kumpeleka sehemu inayo takiwa kama wataendelea kuleta upinzani ktk serikali yake. Huyu bwana ndiyo Rais anayependa kuua upinzani na kudhani kuwa atakuwa Salama akifanya uchaguzi uchwara na kukamata kamata wapinzani wake na wengine kupotezwa kutekwa na kuteswa.
Amekuwa na tabia ya kujitangaza na kujitukuza anawaletea watu maendeleo utafikiria pesa hizo anatoa ktk akaunti ya baba yake mzazi. Anapenda vyombo vya habari vimtangaze na kumsifu yeye tuu kuwa anapendwa anaongoza vizuri. Akisifiwa namna hiyo basi lile Bichwa lake linakuwa kubwaa kama jamaa yake mmoja hivi anaye jifunza kupitia notes zake.
Tetesi zinasema bwana Kagame husafiri kwenda kutoa mafunzo ya udikteta kwa mwanafunzi wake mmoja katika nchi moja ya kijamaa ambayo ipo pembezoni mwa Bahari ya hindi huko kwa Marofa Ulaya Mashariki.
Tunamuonya sana huyu mwanafunzi wa Ukagamelizimu wabena wanamuta "Igangi ilonga" atapotea. Usicheze na Peoples' Power. Wanao kulinda sasa hivi na kukudanganya kwamba wewe upo imara, na kukuimbia mapambio ndio watakao kukamata na kukupiga Tanganyika jeki halafu mbele ya pilato liwali Mrumi utafikishwa. Utalia sana na kusaga meno. Tutakupiga wala hatitakuonea huruma.