Mkuu usione ukimya wa Tanzania, kwenye international politics huwa nipo confident sana na Tanzania pamoja na intelligence yake. Sina shaka kwamba Tanzania inazichanga karata zake vizuri. Membe alishasema Tanzania haina mpango wa kumuomba radhi, bila shaka something better is being thought of. Pengine aanze yeye Kagame kushughulikiwa na kuachia madaraka. Kama ilivyompandikiza Mseven Uganda, ikamuweka Laurence Kabila kule Congo, naamini haitashindwa kwa huyu.Nadhani unajua kilicho-mHIT President Juvenil Habyarimana wa RWANDA... we have to be very carefull...
Ni kweli kabisaSome symptoms of mental illness:
Mwenzenu naona kama Mzee Kagame kimeshaanza.Huwa kinaanza hivi hivi!
- Overwhelmed by fear or worry
- Depressed mood
- Confused thinking
- Trouble dealing with stress
- Suicidal thoughts
- Severe anxiety
- Problems sleeping
- Distance from friends and family
- Paranoia
Nadhani unajua kilicho-mHIT President Juvenil Habyarimana wa RWANDA... we have to be very carefull...
.....Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible
It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called Youth Konnect, sponsored by his wife, Janet Kagame.
Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President a genocide and terrorist sympathizer, ignorant, arrogant, and mediocre leader. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security in the African Great Lakes region....
source..I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete
Look at this fool.Ajaribu aone jinsi watanzania tutakavyoungana kumfunza adabu and dump him huko lake Tanganyika.Na sisi tumekua wapole mno maana mimi ningemuonyesha cha moto.Hakuna cha intetnational community!
Achen ujinga nyinyi hvi nan aliye waambia kuwa ilikushinda vta lazma iwe nchi kubwa ....ushindi wa vta ni mipango,uzarendo na slaha co ukubwa wa pua