chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,529
Ni wazi kwamba kagame akishinda vita dhidi ya Uganda,atakuwa anaisogelea Tanzania na kuizunguka kwa asilimia kubwa na kupanua uwanda wa vita.
Njia pekee kwa Tanzania,Uganda na Congo,pamoja na Burundi ni kumwondoa Kagame ili ukanda huu uwe salama.Pia kuondoa aina ya utawala anaopandikiza katika mataifa mbali mbali
Ni wazi kwamba Rwanda anategemea bandari zetu kupokea silaha kutoka mataifa ya ulaya na marekani,tuiminye njia hii asipate silaha
Tuzuie vyakula visiingie nchini mwake mpaka itokee sintofahamu kwa wananchi
Na ikibidi,kama vita imeanza na uganda,nchi za ukanda zipandikize mamluki was kusaidia jeshi la Uganda na kuunda vikosi kwa mamia vya kupambana kwa kujitegemea ili kutawanya nguvu za Kagame na jeshi lake.Hii itaipa mwanya Uganda kumchapa vizuri kwa kuwa jeshi litakuwa limetawanyika kudhibiti mapambano madogo madogo
Njia pekee kwa Tanzania,Uganda na Congo,pamoja na Burundi ni kumwondoa Kagame ili ukanda huu uwe salama.Pia kuondoa aina ya utawala anaopandikiza katika mataifa mbali mbali
Ni wazi kwamba Rwanda anategemea bandari zetu kupokea silaha kutoka mataifa ya ulaya na marekani,tuiminye njia hii asipate silaha
Tuzuie vyakula visiingie nchini mwake mpaka itokee sintofahamu kwa wananchi
Na ikibidi,kama vita imeanza na uganda,nchi za ukanda zipandikize mamluki was kusaidia jeshi la Uganda na kuunda vikosi kwa mamia vya kupambana kwa kujitegemea ili kutawanya nguvu za Kagame na jeshi lake.Hii itaipa mwanya Uganda kumchapa vizuri kwa kuwa jeshi litakuwa limetawanyika kudhibiti mapambano madogo madogo