Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani, ndo akaondoa ndege hadi bongo haraka. Ila, sina uhakika, M7 ametuma hata mwakilishi tu? kama hajaja yeye wala mwakilishi hajatumwa kuja,ina maana amemdharau mkwere?..Rwanda na Burundi wametuma wawakilishi tu. This is East Africa community ambayo viongozi wanatazamiwa kuwa na umoja kuliko jambo lolote lile. haitarajiwi hata kidogo zuma, kabila, lupia maraisi wao kuja in person, halafu wale wanaojifanya wana east africa kama rwanda, uganda na burundi kutuma wawakilishi tu..
Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!
Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!