Elections 2010 Kagame, Museveni, Nkurungiza etc, wamemtosa JK?

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Jul 28, 2008
2,502
739
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani, ndo akaondoa ndege hadi bongo haraka. Ila, sina uhakika, M7 ametuma hata mwakilishi tu? kama hajaja yeye wala mwakilishi hajatumwa kuja,ina maana amemdharau mkwere?..Rwanda na Burundi wametuma wawakilishi tu. This is East Africa community ambayo viongozi wanatazamiwa kuwa na umoja kuliko jambo lolote lile. haitarajiwi hata kidogo zuma, kabila, lupia maraisi wao kuja in person, halafu wale wanaojifanya wana east africa kama rwanda, uganda na burundi kutuma wawakilishi tu..

Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!
 
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani, ndo akaondoa ndege hadi bongo haraka. Ila, sina uhakika, M7 ametuma hata mwakilishi tu? kama hajaja yeye wala mwakilishi hajatumwa kuja,ina maana amemdharau mkwere?..Rwanda na Burundi wametuma wawakilishi tu. This is East Africa community ambayo viongozi wanatazamiwa kuwa na umoja kuliko jambo lolote lile. haitarajiwi hata kidogo zuma, kabila, lupia maraisi wao kuja in person, halafu wale wanaojifanya wana east africa kama rwanda, uganda na burundi kutuma wawakilishi tu..

Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!
Ni ajabu na kweli inakuwaje marais wanaounda EAC wasije aje Mugabe? hata Kibaki alikuja akiwa amechelewa sana dk za lala salama.
 
Mseveni ana bifu na jamaa --tetesi
AU kwasababu mkwere alimwambia mseveni amezeeka aachie madaraka? izo speech zake jk ziko youtube hata sasa. m7 na kagame lao moja. lakini amekuja zuma, mugabe etc, kwa kuwai, kibaki alikuwa anatazama kama wenzie watakuja walivyoona hawaji yeye akaamua kurusha ndege harakaharaka kutua hapa kwa kuchelewa hadi alichelewesha sherehe...

mbona hata watu wa ulaya, uchina hata russia marafiki wa zamani hawajampongeza mshikaji? rais gani wa tz hajawai kupongezwa akiwa anaapishwa?
 
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani, ndo akaondoa ndege hadi bongo haraka. Ila, sina uhakika, M7 ametuma hata mwakilishi tu? kama hajaja yeye wala mwakilishi hajatumwa kuja,ina maana amemdharau mkwere?..Rwanda na Burundi wametuma wawakilishi tu. This is East Africa community ambayo viongozi wanatazamiwa kuwa na umoja kuliko jambo lolote lile. haitarajiwi hata kidogo zuma, kabila, lupia maraisi wao kuja in person, halafu wale wanaojifanya wana east africa kama rwanda, uganda na burundi kutuma wawakilishi tu..

Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!

Hawawezi kuja kwa sababu jamaa huwa anaona safari za ulaya kwenda kuomba-omba ni dili kuliko kutembelea viongozi wenzake wa EAC kubuni mbinu za kujikwamua wenyewe badala ya kuwaza kuhemea?
 
AU kwasababu mkwere alimwambia mseveni amezeeka aachie madaraka? izo speech zake jk ziko youtube hata sasa. m7 na kagame lao moja. lakini amekuja zuma, mugabe etc, kwa kuwai, kibaki alikuwa anatazama kama wenzie watakuja walivyoona hawaji yeye akaamua kurusha ndege harakaharaka kutua hapa kwa kuchelewa hadi alichelewesha sherehe...

mbona hata watu wa ulaya, uchina hata russia marafiki wa zamani hawajampongeza mshikaji? rais gani wa tz hajawai kupongezwa akiwa anaapishwa?

hizo nchi zipo makini bro!! urusi hakuna democracy kubwa lakini wananchi wake wanakula kuku tu
 
M7 nae ni mubabe tu...
anajidai mafuta nini, hajui na sisi hapa tunayo gesi na mafuta yako mbioni? tukipata si hata hayo ya kwake yatakosa soko kwasababu hawana bandari na hawatauza nchi za mbali zinazotumia usafiri wa meli?
 
sababu za kutokuhudhuria zinaweza kuwa

1. sina hakika kama ile vita jamhuri ya kidemokrasia ya kongo
iliisha rasmi. hivyo uwepo wa kabila na mugabe unaweza kuwafanya
kagame na museveni kutohudhuria hiyo shughuli. aidha afrika kusini nayo
inashutumiwa kuwauzia /kupitisha yale mapanga ya ntarahamwe hivyo
uwepo wa zuma unaweza kuwafanya hao wakuu wa rwanda na uganda
kutohudhuria

au

2.kwa sababu moja au nyingine jk hakubaliki na wenzake wa afrika mashariki

au

3. huo ni ujumbe wanamtumia kwamba hata wao hawaridhishwi na mchakato
mzima wa "ushindi" wa jk

au zote 1, 2 na 3.

 
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani, ndo akaondoa ndege hadi bongo haraka. Ila, sina uhakika, M7 ametuma hata mwakilishi tu? kama hajaja yeye wala mwakilishi hajatumwa kuja,ina maana amemdharau mkwere?..Rwanda na Burundi wametuma wawakilishi tu. This is East Africa community ambayo viongozi wanatazamiwa kuwa na umoja kuliko jambo lolote lile. haitarajiwi hata kidogo zuma, kabila, lupia maraisi wao kuja in person, halafu wale wanaojifanya wana east africa kama rwanda, uganda na burundi kutuma wawakilishi tu..

Mkwere, jiangalie vizuri, wenzio wanayaona unayofanya na wamekutosa manake wamekuona hauna lolote. mbona hawajaja kukutunza mkuu? tafakari hili...think about it!

We unajua wakati Kagame anaapishwa nani aliwakilisha Tanzania?JK wako hakwenda eti alikuwa kwenye kampeni.
 
Hii inaonesha JK hayuko popular na wenziwe wa EA kwa kushabikia kwake wazungu. Hao wazungu no bila shaka wameanza kumjua vizuri kwamba si mwanademokrasia wala mwenye vision. Sasa subiri manyanyaso yo. Misaada aidha itakatwa au itapunguzwa. Tanzania, tofuti na Kenya na Zimbabwe, haiwezi kamwe kuishi mwezi mmoja bila ya misaada (baada ya hawa manyang'au kuchuuza viwanda vyote). Maskini wazee wangu kijijini!
 
sababu za kutokuhudhuria zinaweza kuwa

1. sina hakika kama ile vita jamhuri ya kidemokrasia ya kongo
iliisha rasmi. hivyo uwepo wa kabila na mugabe unaweza kuwafanya
kagame na museveni kutohudhuria hiyo shughuli. aidha afrika kusini nayo
inashutumiwa kuwauzia /kupitisha yale mapanga ya ntarahamwe hivyo
uwepo wa zuma unaweza kuwafanya hao wakuu wa rwanda na uganda
kutohudhuria

au

2.kwa sababu moja au nyingine jk hakubaliki na wenzake wa afrika mashariki

au

3. huo ni ujumbe wanamtumia kwamba hata wao hawaridhishwi na mchakato
mzima wa "ushindi" wa jk

au zote 1, 2 na 3.

2 na 3
 
sababu za kutokuhudhuria zinaweza kuwa

1. sina hakika kama ile vita jamhuri ya kidemokrasia ya kongo
iliisha rasmi. hivyo uwepo wa kabila na mugabe unaweza kuwafanya
kagame na museveni kutohudhuria hiyo shughuli. aidha afrika kusini nayo
inashutumiwa kuwauzia /kupitisha yale mapanga ya ntarahamwe hivyo
uwepo wa zuma unaweza kuwafanya hao wakuu wa rwanda na uganda
kutohudhuria

au

2.kwa sababu moja au nyingine jk hakubaliki na wenzake wa afrika mashariki

au

3. huo ni ujumbe wanamtumia kwamba hata wao hawaridhishwi na mchakato
mzima wa "ushindi" wa jk

au zote 1, 2 na 3.

mapanga ya intarahamwe si yalitoka china, nani anasema south africa tena? halafu, kagame na kabila sio maadui, ni kiini macho, kuna wengi wanasema hata kabila mwenyewe ni mrundi, kwasababu kabila baba yake hakuwa yule aliyekufa, kabila baba yake na mamayake ni wanyarwanda ila mamake alikuja kuolewa na laurent kabila yeye akawa mtoto wa nje/kufikiwa...akabadili jina hilo kuwa kabila badaye...kuke congo wako kwenye process kumwondoa mshikaji kwasababu wanasema wanatawaliwa na mtu ambaye siyo raia. pia inasemekena ni kagame alimweka madarakani na walifanya njama ya kumwua yule kabila ili joseph akae madarakani kwa interest za rwanda...jambo hili si jipya kujadiliwa huko congo na kwa wacongo walioko diaspora. hivyo ukiona kagame na kabila wanajifanya maadui, wala usiliweke kichwani, ni kuchanganya watu akili tu..wenzio wamesomea huo ushushushu kabisa.
 
hao wazungu pia hawajampongeza sasa, hata wachina ambao walikuwa marafiki zetu na wanaotengeneza uhusiano na manchi mengi ya africa hawajamtumia hata pongezi...prezo wetu yuko peke yake, katoswa...yetu macho.
 
Mseveni ana bifu na jamaa --tetesi
Yeah, hii inaweza kuwa na ukweli kiasi, kwani niliwahi kumsikia ,mkuu wa police uganda akiilaumu bongo kuwa imejiweka kando hasa kutokana na ulipuzi wa mabomu kule Kampala, Bongo haikutoa ushirikiano thabiti!
 
Hata wasipokuja ni sawa tu mbona hata yeye hakwenda wakati anaapishwa kagame? Ndo kwanza alikua busy na mambo yake wakati angeweza kwenda na akarudi, acha wamsusie na yeye, ingekua ulaya angekimbia.
 
Wazungu wana laani kichizi mkwere kuwa tena raisi wa wabongo kwa sababu jamaa wamemchoka kwa 'mizinga'! kila kukicha jamaa kiguu na njia kutafuta misaada badala ya kujenga uwezo nchini mwake.kuna wakati anajisahau anawapiga mizinga hata jamaa zake wa A. mashariki; kina m7 , kibaki , etc ndo maana jamaa hawakuja au wamekuja kishingo upande!!!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom