Kagame kuleta ndege ya tano; Kikwete umeshindwa nini ATCL?

"hapana Tanzania ni kubwa saana hivyo hatuwezi kuwa na ndege kama Rwanda, ingekuwa nchi yetu ni ndogo kama Rwanda ungeona kila moja wetu anayo ndege yake, hata pa ku park ingekuwa taabu" JeKei wa Tanzania
 
Wazee wa kijani wanaua mashirika ya umma ili wao wapate opportunities ya kuingia ubia na wawekezaji! its crazy, hakuna uchungu na nchi.
Nahii hali imeenea kila sehemu hadi kwenye ngazi ya kitongoji, watu wanapiga domo kulaumu kila kukicha lakini akipata dili lisilo halali utamuona yuko mbele kulinyatia badala ya kukemea huo uhuni , ulafi tunashabikia kila kukicha.
 
WACHA KAGAME ANUNUE NDEGE HATA KUMI.....issue ni kuwa JK SIO PUPPET wa marekani na arabuni...nchi hizi hutaka uwe kibaraka wao ili wakupe kila kitu.....ona jinsi MUGABE walivyomnyoosha ....mtu anayeangalia maslahi ya nchi yake hudidimizwa,ila yule anayewakaribisha hupewa almost kila kitu........HATUWEZI FANANISHA JK NA KAGAME UNLESS JK AKUBALI TUBURUZWE NA MAREKANI.........NA HII ITAFUTWA?
 
Ndg zangu hebu tuamke kifikira tuache ushabiki wa kisiasa hebu tuangarie Maendeleo ya inchi yetu.CCM imeturudisha nyuma sana hebu tuiweke kando kwanza.Mpeni kura za ndiyo Dr Slaa 2010.ili tuone mabadiriko angalau, hata km na yeye akija kutugeuka tunamtoa vilevile tusiogope.
 
Ndg zangu hebu tuamke kifikira tuache ushabiki wa kisiasa hebu tuangarie Maendeleo ya inchi yetu.CCM imeturudisha nyuma sana hebu tuiweke kando kwanza.Mpeni kura za ndiyo Dr Slaa 2010.ili tuone mabadiriko angalau, hata km na yeye akija kutugeuka tunamtoa vilevile tusiogope
ENYI CHADEMA.....URAISI HAUFANYIWI MAJARIBIO.....SIO KUWA MBUNGE KWA VIPINDI VIWILI UTOSHE KUONGOZA NCHI........kama ambavyo JK 1995 hakutosha kuwa rais kwani nafasi alizoshika hazikukidhi vigezo....UBUNGE NA UWAZIRI aliokuwa nao bado haukuwa uzoefu tosha........!bado hujakomaa kuingoza TZ Slaa NZANIA YETU....muulize msomi mwenzako LIPUMBA aliyedhani usomi ni urais.
 
Tanzania inaweza kusonga mbele iwapo chama tawala kitaondolewa madarakani.CCM imetawala Tanzania tangu tupate uhuru,tumeshuhudia sera mbali mbali ambazo zimeshindwa kuwaondoa wananchi wengi kwenye umaskini mkubwa [chini ya dola moja kwa siku].Asilimia kubwa ya uchumi wa Tanzania unamilikiwa na wageni kutokana na sera mbovu za chama cha mapinduzi.

 
Kuingia Ikulu sio kazi, kazi ni nini unachoenda kukifanya?

Kuzungukwa na msitu wa mafusadi kwa jinsi JK alivyozungukwa haki lazima ukute unakuwa mmoja wao. Huwezi kuhudhuria ngoma ya mahepe kama wewe sio mchawi. JK amewakumbatia mafisadi ndio wanaommaliza. Hawa ndio waliomweka madarakani inashindwa kuwaambia sasa basi. We anagalia mfano kidogo tu,,, askari mla rushwa hana sauti juu ya kabwana mdogo kanachoendesha daladala. Atasemaje wakati anamwezesha?
Eti wakikupa pesa zao we kula tu halafu watolee nje kwenye uchaguzi! Kwa wazee wa kijijini wanasema hawawezi kula dhuluma! Kwa kuzingatia maisha yao yalivyo wanashindwa kubadilika. Ona wao kwa wao wanavyotafunana kwenye kura za maoni. Rafu kila kona. Walisema MCHELEA MWANA KULIA ATALIA YEYE. JK wakati wa kulia umefika, na ATALIA KWELI!
 
Pamoja na kwamba simsapoti JK, lakini siwezi kumweka kapu moja na Kagame.
Kagame angalia anavyowafanyia wapinzani wake. Lazima tufike mahali Afrika tukatae viongozi madikteta kwa kisingizio cha kutuletea maendeleo.
 
Kwani wakuu mmesahau kuwa hili ni shamba la bibi,kwamza sisi shirika la atcl la nini wakati wakitaka mafungu wanasema kwamba tuna tenga kiasi fulani kwa ajili ya shirika huo wote ni ukora,rwanda kwa kifupi ni mfano wa kuigwa kwa sisi watanzania kwa nini jk asiombe ushauri kwa kagame ampe staili ya kuleta mageuzi.mafisadi kwao wanatumikia kifungo sisi wanagombea uongozi tuwarudishe madarakani ili watufisagi tena,kwa staili hiyo tutapona kweli,sasa iliyobaki ni kuiomba rwanda itusaidie bajeti yetu angalau kwa asilimia fulani kama siyo mia.am out
 
Acheni TTCL ife wapewe wachina tena ikiwezekana 90%. Tanzania tunatakiwa tukocentreate na RAILWAY na Barabara.

Myself ningekuwa kwenye position ningehakikisha hili shirika naliuza haraka sana. lakini si kwa Railway amabayo ningeweka mkazo serikali iwe na ubia mkubwa whatever inversto watakaokuja.

Railway ina opportunity ya kutufanya tuzikamate Rwanda, , Burundi Uganda, Malawi na Zambia na DRC. Inachekesha bado mpaka leo Hii RWAnDa na Burundi wana option ya kutumia bandari ya Mombasa au Dar. Sioni ATCL hata wakizawadiwa ndege 10 watashindana na nani. Precision, KQ, KLM au BA. Competetion ya Airline ni kubwa sanaaa na mbaya zaidi kwa sasa haina Gurantee.

Nataka Nisikie rais ajaye anasema anampango wa kufanya muda wa safari kutoka Dar-Kigoma au Dar- Mwanza itakuwa ni less than 24 hrs.s

Sipendi kusikia kwa sasa kiongozi watanzania anazungumzia kutumia pesa za walipa kodi kufufua marehemu ATCL ambaye hana msaada mkubwa kwa watanzania .Bora wafufue marehemu TRL
 
Uongozi wa nchi si suala la mzaha hata kidogo. Kiongozi bora ni yule anayesikiliza na kutatua matatizo ya wananchi yake. Ni mzalendo kwa Taifa lake. Kagame licha ya ukatili wake, ni mzalendo kwa Wanyarwanda ndio maana serikali yake imeyaondoa magari ya kifahari ktk kuyamiliki na kuyaendesha, sasa wananunua madege kusaka mapesa sisi tunayaua, kisa mjomba kaanzisha shirika lake la ndege, hivyo la serikali likiimarika litaleta upinzani, a cha life after all I have no interest with it. Namna hii hatutafika ni lazima kujitoa mhanga kwa Taifa.Angalia wenzetu walioendelea ni wazalendo kweli kwel kwa mataifa yao. INAUMA SANA UNAPOANGALIA TANZANIA KUITWA MASKINI TENA SANA. INAUMA SANA, INAUMA SANA. THIS YEAR, DEAR TANZANIANS, TOGETHER LET US VOTE FOR CHANGE AND DEFEND IF NOT PROTECT OUR VOTES TO DEATH TO ENSURE THAT THOSE WHOM WE HAVE VOTED IN ARE THE ONES IN POWER. WE MUST FIGHT TO DEATH TO PROTECT C OUR INTEREST. HONGERA KAGAME KWA KAZI NJEMA SANA
:plane:INAUMA SANA INAUMA SISI KUITWA MASKINI, INAUMA SANA SISI KUOMBA CHAKULA NJE YA NCHI, INAUMA SANA KUNUNUA CHAKULA BRAZIL HUKU SUMBAWANGA HAWANA SEHEMU YA KUUZIA MAZAO YAO, INAUMA SANA KUNUNUA KUKU KUTOKA SA WAKATI SINGIDA WAPO WA KUMWAGA. INAUMA SANA INAUMA SANA AAAAAH MMMH INAUMA SANA
 
Kwani wakuu mmesahau kuwa hili ni shamba la bibi,kwamza sisi shirika la atcl la nini wakati wakitaka mafungu wanasema kwamba tuna tenga kiasi fulani kwa ajili ya shirika huo wote ni ukora,rwanda kwa kifupi ni mfano wa kuigwa kwa sisi watanzania kwa nini jk asiombe ushauri kwa kagame ampe staili ya kuleta mageuzi.mafisadi kwao wanatumikia kifungo sisi wanagombea uongozi tuwarudishe madarakani ili watufisagi tena,kwa staili hiyo tutapona kweli,sasa iliyobaki ni kuiomba rwanda itusaidie bajeti yetu angalau kwa asilimia fulani kama siyo mia.am out


wewe wanaochagua ndege ya kukodi CEO na Commercial Direct UNATARAJIA NINI??
 
Angalia wenzetu wanakopata ndege zao Boeing Commercial Airplanes....sisi tunaenda Bermuda sijui
Usifanye mchezo na Kagame kina Chenge and co wangekuwa Rwanda lna ujinga wao wa kusaini mikataba mibovu wangepigwa viboko....jamaa hana mchezo wa kubebana ndio maana viongozi wana adabu na kufanya kazi zao ipasavyo
 


GetInline.aspx
 
Usifanye mchezo na Kagame kina Chenge and co wangekuwa Rwanda lna ujinga wao wa kusaini mikataba mibovu wangepigwa viboko....jamaa hana mchezo wa kubebana ndio maana viongozi wana adabu na kufanya kazi zao ipasavyo


Ndugu hiki ndicho kinachotumaliza africa;;alimweka mate wake mmoja ambae alimwamini kweli akafanya ujinga wa kula rushwa akuitaji kusubiri takukula akaflash leo hii ni heshima...tungekuwa na mifano hii upuuzi usingekuwepo ngo...kingine utashangaa swala muhimu kaama kutafuta ndege badala ya kushirikisha na wataalamu wa serikali wanajazana menejiment nzima matokeo yake upuuzi wa AIRBUS UNAJUA ILIPOISHIA???MUNGU AWAREHEMU
 
Uongozi wa nchi si suala la mzaha hata kidogo. Kiongozi bora ni yule anayesikiliza na kutatua matatizo ya wananchi yake. Ni mzalendo kwa Taifa lake. Kagame licha ya ukatili wake, ni mzalendo kwa Wanyarwanda ndio maana serikali yake imeyaondoa magari ya kifahari ktk kuyamiliki na kuyaendesha, sasa wananunua madege kusaka mapesa sisi tunayaua, kisa mjomba kaanzisha shirika lake la ndege, hivyo la serikali likiimarika litaleta upinzani, a cha life after all I have no interest with it. Namna hii hatutafika ni lazima kujitoa mhanga kwa Taifa.Angalia wenzetu walioendelea ni wazalendo kweli kwel kwa mataifa yao. INAUMA SANA UNAPOANGALIA TANZANIA KUITWA MASKINI TENA SANA. INAUMA SANA, INAUMA SANA. THIS YEAR, DEAR TANZANIANS, TOGETHER LET US VOTE FOR CHANGE AND DEFEND IF NOT PROTECT OUR VOTES TO DEATH TO ENSURE THAT THOSE WHOM WE HAVE VOTED IN ARE THE ONES IN POWER. WE MUST FIGHT TO DEATH TO PROTECT C OUR INTEREST. HONGERA KAGAME KWA KAZI NJEMA SANA
:plane:INAUMA SANA INAUMA SISI KUITWA MASKINI, INAUMA SANA SISI KUOMBA CHAKULA NJE YA NCHI, INAUMA SANA KUNUNUA CHAKULA BRAZIL HUKU SUMBAWANGA HAWANA SEHEMU YA KUUZIA MAZAO YAO, INAUMA SANA KUNUNUA KUKU KUTOKA SA WAKATI SINGIDA WAPO WA KUMWAGA. INAUMA SANA INAUMA SANA AAAAAH MMMH INAUMA SANA

i feel your pain dawg. i feel like that about my own country too. i admire ur passion for ur country and i hope your fellow countrymen join u in ur fight for change.

goodluck tanzanians in ur upcoming election
 
i feel your pain dawg. I feel like that about my own country too. I admire ur passion for ur country and i hope your fellow countrymen join u in ur fight for change.

Goodluck tanzanians in ur upcoming election


just vote for dk silaa vote for chadema no pain anymore
 
Hapa mpaka tuvyukane kidogo na risasi ndio viongozi wetu watatia akili, sio Kagame tu ila wanyarwanda wote hawataki mzaha wanaheshimiana kweli kweli hasa baada ya mauaji ya kimbali, hii imewapa uoga mkubwa na kuwafanya wafanye kazi kikamilifu na kwa ukamilifu.Kweli Tanzania tuna bora viongozi sio viongozi bora kwani huwa hujiangalia wao na maslahi yao tu.
 
Back
Top Bottom