Kagame hakuja msibani kumzika rais wetu, na alikaa miezi siku nyingi sana kabla hajatupa pole, Rais Samia unakwenda Rwanda kufanya nini?

Nchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania.

Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.

Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini? Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.

Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
Niambie msiba hata mmoja ambao Magufuli alihudhuria. Hata wewe mleta uzi usipokuwa na tabia ya kwenda kwa misiba ya majirani utasusiwa pale utakapopata msiba. Malipo ni hapa hapa.
 
Nchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania.

Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.

Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini? Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.

Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
Kwani bado hujaelewa tu?
1. SHH ndiye mtu pekee aliyekwenda kumuona LISU Nairobi, kutoka serikalini
2. SHH ndiye aliyesema tunaponya makovu kwanza, JIULIZE, HAYO MAKOVU YANAYOPONYWA, YALISABABISHWA NA NANI?
3. Ya kuingia nchi hiyo, nani wa mwisho kwenda kabla ya leo?
 
Nchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania.

Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.

Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini? Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.

Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
Kwa hiyo ulitaka Rais Samia arithi maugomvi ya watu? Meko mwenyewe alikuwa mtata kwa kila mtu.
 
Niambie msiba hata mmoja ambao Magufuli alihudhuria. Hata wewe mleta uzi usipokuwa na tabia ya kwenda kwa misiba ya majirani utasusiwa pale utakapopata msiba. Malipo ni hapa hapa.
Hili nalo neno..!!! Tena sisi wabongo, kuna watu walisusiwa marehemu wakazike wenyewe, wengine walisusiwa chakula ikabidi wakaitwe masela wa stend waje wafanye yao..!!
 
Another Fool. Hivi ni nani alikuambia kuwa Rais Paul Kagame nae haijui 'System' ya Tanzania tena ndani nje kwani Yeye pamoja na aliyekuwa Raia wa Congo DR ( Hayati Laurent Desire Kabila ) Tanzania akijulikana kama Baba Simwale walishawahi kuwa sehemu yake Awamu za Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi?

Kama ambavyo Tanzania mmepandikiza Majasusi ( Manjagu ) wenu huko Rwanda ndiyo hivyo Rwanda nao wamepandikiza wao Kwenu Tanzania tena wao sasa wakiwa Wamejazana katika Sekta ( Idara ) zenu muhimu za Ulinzi na Usalama achilia mbali pale TPA na TRA ambako wamejazana wengi tu.

Endeleeni Kujitutumua tu Kipumbavu.
Banyamulenge bhana.
 
Kwamba hujui mwendazake aliwekeza Rwanda na hakutaka kulipa kodi na malori yake ya KESI INVESTMENTS.
Ugomvi wa Kagame na Magufuli ukisimuliwa utampongeza Kagame.
Wakati wenzake wanapambana na Corona yeye yuko Dodoma anapiga picha kwenye mawe anawabeza.
Sayansi ikajaribiwa na nyungu
Nyungu zinakakata moto
 
Ifike muda kama Bangi / Bange mnazovuta huwa zinawadhuru ( hasa Ubongo ) ni bora mziache tu.

Pia ifike muda kama unajijua kabisa umesahau Kunywa Dawa zako za Uwendawazimu kabla ya kuja ( Log In ) hapa JamiiForums basi uwe unazinywa Kwanza.

Na pia ni vyema kama unajijua umezaliwa na Kipaji cha Upumbavu na Masuala ya Kiitifaki ( hasa kwa Marais ) huyajui basi uwe unauliza uelimishwe.

Ni kweli Rais Kagame hakuja Msibani kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ila katika Siku ya Kuagwa Kitaifa pale Mkoani Dodoma aliwakilishwa na Waziri Mkuu wa Rwanda ( kama sijakosea ) pamoja na Balozi wao hapa Tanzania ambaye kwa taarifa yako tu ni kwamba Balozi huyu wa Rwanda alienda Mikoa yote ambayo Mwili ulipelekwa Kuagwa.

Siku ya Mazishi pale Chato Kiitifaki Rwanda na Rais Kagame aliwakilishwa vyema na Balozi ambaye alitoa Salamu mbele ya Hadhira kwa Niaba ya Wanyarwanda na Serikali yao.

Taratibu za Kiitifaki za Viongozi huwa hazijalishi kama Viongozi ni Marafiki ( Maswahiba ) au hapana bali hujumuisha mambo mengi na Kubwa ni la Usalama na 'Current Situation' ya nchi au hata Ratiba za Rais kwani Kifo kwa Binadamu huwa akina Ahadi ( Ratiba ) ila Ratiba za Kiutendaji za Marais huwa zinakiwa 'fixed' na hutenguliwa kwa dharula ya maana iliyo karibu na siyo ya mbali.

Na ulivyo 'very Foolish indeed' leo hii unahoji ni kwanimi Rais Kagame ambaye alikuwa ni 'Swahiba' wa Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuja Msibani halafu hujahoji wala Kushangaa ni kwanini Hayati Rais wa Afrika Kusini Nelson Madiba Mandela aliyekuwa 'Rafiki' wa karibu wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nae hakuja Msibani Tanzania.

Mbona hata Rais wa Uganda Mzee Yoweri Kaguta Museveni nae ni Rafiki mkubwa wa Tanzania na hata kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuja Msibani wala hujahoji ila 'Utahaira' wako umekutuma tu uhoji la Rais Paul Kagame wa Rwanda?

Hivi baadhi ya Watanzania Wapumbavu ( Mipopoma ) ni nani aliyewajazeni 'Utahaira' wenu huu na Kuwapandikizeni 'Chuki' dhidi ya Rwanda kama nchi, Wanyarwanda kama Raia na Kagame kama Rais?

Mlianza Kuzusha na Kuaminisha Watu kuwa Kikosi cha Ulinzi cha Rais wa Tanzania ( PSU ) kimechukua Walinzi kutoka nchini Rwanda kwa Kagame. Hivi kwa Mtu aliyeiva na anayejua vyema masuala mazima ya Kijasusi ( Intelligence ) hili linawezekana? Ndiyo kuna muda huwa nawadharau sana baadhi ya Watanzania ( ila siyo Wote ) kwakuwa hamna Akili na mmekalia tu Majungu, Umbea na Chuki.

Yaani kuna Mpumbavu Mwenzenu Mmoja ( sasa Mstaafu ) kwa Chuki zake tu binafsi na Uchapakazi na Ujasiri wa Rais Kagame kwa Kuiletea Maendeleo makubwa na ya haraka Rwanda Yeye alichokifanya ni Kueneza 'Propaganda' ya 'Chuki' kwa Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) huku akiwahonga Wahariri wa Habari wa Tanzania waje na 'Agenda Setting Theory' ya Kuisema vibaya Rwanda ili Watanzania baadhi wasiojua 'Kufikiri' waamini.

Baadhi ya Watanzania kuzidi Kuichukia na Kuiandama Rwanda, Wanyarwanda na Rais Paul Kagame ni Kujitafutia tu Dhambi za lazima kwa Mwenyezi Mungu kwani Wanyarwanda kupitia Rais wao wameamua kusahau yaliyopita na Kuijenga vyema nchi yao, Kuchapa Kazi, Kujijenga Kimshikamano, Kupambana na Kudumisha Uzalendo wa Kweli huku wakiachana na Mambo ya Kipuuzi ambayo yangewachelewesha Kufikia Maendeleo makubwa ambayo leo hii wanayo japo waliuwana katika Machafuko ya Halaiki ( Genocide ) ya mwaka 1994 ukiachilia ile ya Kwanza ya 1959.

Dhambi ya Kuichukia Rwanda itawauwa.
Shukran sana mkuu, umemjibu vyema sana,, yaani watu kama vile siyo binadamu wanashindwa kujua hata Kagame ni binadamu kama wengine, hawajua kuwa Kagame kama Rais wa nchi ni Taasisi! Yaani walitaka kwenye msiba hadi na yeye awepo....
 
Niambie msiba hata mmoja ambao Magufuli alihudhuria. Hata wewe mleta uzi usipokuwa na tabia ya kwenda kwa misiba ya majirani utasusiwa pale utakapopata msiba. Malipo ni hapa hapa.
Kwamba PK ni mmoja ya waliofariki jpm akagoma kwenda!!!

Jf imejaa watu wa ajabu sana aisee.
 
Mama ana watetezi wengi sana - kwanza wa ile dini yake , hawa hata afanye famba gani wako nae tuuuu piga ua galagaza, wengine wazenji, wengine kwa mbaali wanawake, na wengine ni akina sisi tunaomkubali tu. Hivyo nyie mnaoona mabaya tu tuvumilieni miaka 9 sio mingi Mungu akipenda
 
Nchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania.

Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.

Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini? Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.

Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
Mkuu unaongea jambo ambalo ama unapotosha au hauna facts, PK alituma salamu za rambirambi na bendera za rwanda kushushwa nusu mlingoti.Pia siku ya kuaga rasmi alimtuma Waziri Mkuu wake dodoma kumuwakilisha. Suala la Mama kwenda, ni muhimu kidiplomasia ikiwa kujitambulisha kwa majirani zake na pia kuendeleza maswala ya biashara na uchumi,kwani Rwanda ni mdau mkubwa sana katika matumizi ya bandari yetu.
 
Shukran sana mkuu, umemjibu vyema sana,, yaani watu kama vile siyo binadamu wanashindwa kujua hata Kagame ni binadamu kama wengine, hawajua kuwa Kagame kama Rais wa nchi ni Taasisi! Yaani walitaka kwenye msiba hadi na yeye awepo....
Some of our colleagues here are 'Foolish' by nature and they have actually been 'brainwashed' to hate Rwanda and His Excellence Paul Kagame in every 'angle' and 'aspect' of life.
 
Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini? Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa
Kwani ni lini ulisikia Magufuli kaenda kuzika nchi za watu?
Mambo ya nchi unalinganisha na mambo ya mitaani
 
Some of our colleagues here are 'Foolish' by nature and they have actually been 'brainwashed' to hate Rwanda and His Excellence Paul Kagame in every 'angle' and 'aspect' of life.
Ziara ya Mama imeniambia kwamba kagame anatakiwa aongoze Rwanda mpaka atakapoamua yeye
Sisi maneno meengi na siasa tu mara katiba mpya
Rwanda wanatengeneza VW,wanatengeneza simu sisi kila siku tunalia umeme hautoshi
 
Ziara ya Mama imeniambia kwamba kagame anatakiwa aongoze Rwanda mpaka atakapoamua yeye
Sisi maneno meengi na siasa tu mara katiba mpya
Rwanda wanatengeneza VW,wanatengeneza simu sisi kila siku tunalia umeme hautoshi
Ningekuwa Mimi ndiyo Mama ( Mheshimiwa ) zile Ziara Mbili za kwenda katika Kiwanda cha Simu na Gari za Volkswagen alizopangiwa na Mwenyeji wake ningezichomoa Kimtindo.

Kilichofanywa na Rwanda ( hasa kwa hayo Maendeleo yake makubwa na ya haraka ) pamoja na kwamba imepitia 'Changamoto' nyingi za Machafuko ( Genocide ) kilitakiwa kiwe kimefanyika muda mrefu sana nchini Tanzania ( hasa kutokana na Utulivu wake wa Amani ) uliopo ila bahati mbaya imekuwa ni tofauti.

Kuna Mtu 'Katukanwa' kwa Akili Kubwa, ila Yeye 'hajashtukia' Mchezo na kaishia tu 'Kupozi' katika 'Ndinga' ya maana inayotengenezwa Kigali nchini Rwanda.

Na alichokifanya Rais Kagame ni kutuma that indirect Message' kuwa Waafrika 'We have to walk the talk and not talking the walk' kwani tunapoteza muda mwingi kwa Majungu, Wivu, Chuki na Uswahili Uswahili wetu.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom