Kagame hakuja msibani kumzika rais wetu, na alikaa miezi siku nyingi sana kabla hajatupa pole, Rais Samia unakwenda Rwanda kufanya nini?

Another Fool. Hivi ni nani alikuambia kuwa Rais Paul Kagame nae haijui 'System' ya Tanzania tena ndani nje kwani Yeye pamoja na aliyekuwa Raia wa Congo DR ( Hayati Laurent Desire Kabila ) Tanzania akijulikana kama Baba Simwale walishawahi kuwa sehemu yake Awamu za Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi?

Kama ambavyo Tanzania mmepandikiza Majasusi ( Manjagu ) wenu huko Rwanda ndiyo hivyo Rwanda nao wamepandikiza wao Kwenu Tanzania tena wao sasa wakiwa Wamejazana katika Sekta ( Idara ) zenu muhimu za Ulinzi na Usalama achilia mbali pale TPA na TRA ambako wamejazana wengi tu.

Endeleeni Kujitutumua tu
Kashfa na story za kusadikika,
Uliza tu ndugu Uambiwe,na Sababu hata ya kuchelewa kwenda Huko ni hiyo
 
Kagame alimchukia Magufuli kwa vile aliona anaanza kuzima nyota yaka ya kusifiwa kuwa uongozi wa kuigwa Afrika; akaona watu wanamuongelea Magufuli na Okufo tu badala yake. Kwa hiyo ingawa walianza kama marafiki, siku za mwisho baada ya Magufuli kununua madege, kujenga miundombinu na kusimamia nidhamu serikalini kuliko yeye, akamchukia!
Kumbe!!!
Hivi kwa nini Mods waliondoa signature manake naikumbuka ile signature yako kwamba Kichuguu nyumba ambayo mchwa na nguchiro.....
 
Mahusiano yetu na nchi nyingi akiwamo PK hayakuwa mazuri tena mwishoni mwa utawala wa awamu ya 5.

Utakumbuka nchi ya kwanza kuitembelea JPM baada ya kukwea madarakani ilikuwa Rwanda.

Hii imekaa je PK kutokuja kuhani msibani lakini sisi fasta tu tumefanya ziara kwake kwenda kujitambulisha?

Ina maana na pole yetu tumepewa huko huko?
 
Mahusiano ya kiuchumi, kibiashara na kidiplomasia ni muhimu zaidi kuliko bifu zisizo na kichwa wala miguu.
 
Katika jambo linaloshangaza mojawapo ni hilo. Kwanza yeye alitakiwa kuja hapa, hata msiba hakuja , halafu unamfuata huko. Kweli?
 
Bomu la hiroshima umerusha mkuu. Taratibu kaka 🤣🤣

😂😂😂😂!

Kama umeona Bomu la Hiroshima hapo haipo shaka kuwa hawa:

IMG_20210614_192655_399.jpg


Ndiyo tunaowategemea kutuvusha hata kwenye janga hili - "a calamity that has brought the entire world down to its knees."

Kwa kweli tuko vizuri.
 
Mahusiano ya kiuchumi, kibiashara na kidiplomasia ni muhimu zaidi kuliko bifu zisizo na kichwa wala miguu....

Kwa maana nyingine mwendazake alikuwa rais mzigo mkubwa kwa taifa hili.

Unasomeka vyema.
 
Back
Top Bottom