Duh naona Michuzi anatoa nyepesi kwamba Yanga tumeingia mitini.... Nimetokea sipo mjini na kila ninayempigia naye ni amezima simu!! Asalale, hii ni kuwapa wanyama cha kuongea manake si utani hii ndio inaitwa aibu ya karne, heri kulipa faini kuliko aibishwa na mnyama!!
Kwa kweli naona uzalendo umeanza kunishinda!!!
Kwa kweli naona uzalendo umeanza kunishinda!!!