BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Kama Kikwete ni mwerevu basi neno uelevu halina maana yeyote, anamshauri Kagame kitu gani wakati nae katuma JWTZ Kongo kupambana na m23.
Kwa hiyo SADC na UN siyo werevu pia kwa kuwa waliunga mkono kauli ya JK kuhusu Kagame na M7 kujadiliana na waasi wa nchi zao. Kwa hiyo Kagame ndiye mwerevu? Watutsi mnachekesha sana, acheni hizo dharau zenu. EA, SADC & UN wameshawajua kuwa you are trouble makers, dawa yenu inachemshwa.