Kagame amwaga mashine 700 za condom kulinda vijana wake

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,722
21,775
Rais wa rwanda mh Kagame ameanza kutekeleza lile swali waliokuwa wakijiuliza wakati akijibu kuhuusu afya za vijana wake na maendeleo ya ukimwi..akiongea kama utani mh rais amesema amefanya
research na kuona vijana wengi bado wazima na akasema atajitahdi muda si mrefu kuanza kuweka vinunua haja..kwa wale wanaoenda kuvunja amri ya sita

Hivi majuzi mh alianza kwa kujenga vibanda kila baada ya m 300 na baadae kampuni moja ya ubelgiji imepewa kazi ya kuanza kufunga vilindishi..katika hili kagame ametoa mpaka na mataa makubwa kutumika usiku kumaliza kazi alioahidi kabla ya kuondoka na kusema vijan wengi si wnashindwa kutumia condom no ni wanakufa kwa kuona aibu kwenda madukani sasa unauwezo wa kumuaga mwenzio naenda kununua sigara ukageuka na kurudi na zana zako kamili......na kuendelea na azma yako ..sasa swali la utatumia ama lah..hiyo kagame amesema aimuhusu anachojali nenda na coins zako weka bonyeza chagua aina chukua ondoka...swafiiii

Je RAIS kikwete hili litasaidia wale vijana wetu wa kinondoni na sinza wanaomaliza vijana wako???
 
hilo sawala la mhimu sana, kwani hata huku tuliko tunaona vibanda hivyo kila baada ya distance flani, ni kazi ndogo tu ambayo tukitaka si lazima ya raisi kuivalia njuga bali hata wabunge wenyewe wanaweza sana tu, ujenzi ule hauzidi siku kadhaa tu na havihitaji umeme kwa matumizi yake hivyo na namaanisha vinaweza kufika hadi vijijini bila shida kabisa.
big up KAGAME,unajua mda mwingine huwa nafikiria je ni kwa nini viongozi wetu kila siku wanasafiri nje lakini wala hawajifunzi wanayoyaona? basi walau hata madogo madogo tu ambayo yako chini ya uwezo wetu? agghhhhhhhhhhhhhhh
 
Back
Top Bottom