Rais Paul Kagame wa Rwanda, ambaye amekuwa akisifiwa kwa uongozi thabiti na kuiendesha nchi vizuri kuliko Tanzania, sasa inaelekea ameanza kulewa sifa baada ya kufanya vituko huko New York.
Kagame ameripotiwa kulala kwenye hoteli ya kifahari ambapo gharama ya rum (chumba) ni takribani shilingi milioni 30 kwa usiku mmoja.
Pia wajumbe mbalimbali wa marais wanaohudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa New York wamekuwa wakionekana mitaa ya New York wakifanya kufuru kubwa, ikiwemo kufanya shopping ya nguo na kula hoteli za bei mbaya. Matumizi yote haya ya anasa yanagharamiwa na walipa kodi wa nchi zao.
Kugundulika kwa matumizi haya ya anasa, kumezua gumzo miongozi mwa Watanzania, wakitaka kujua je Rais Jakaya Kikwete anayehudhuria mkutano huo wa UN Marekani amelala kwenye hoteli ya dola ngapi kwa siku na anafanya matanuzi gani huko kwa pesa za wavuja jasho wa Tanzagiza?
Gonga hapa kuona source ya taarifa: TANZANIA files
Kagame ameripotiwa kulala kwenye hoteli ya kifahari ambapo gharama ya rum (chumba) ni takribani shilingi milioni 30 kwa usiku mmoja.
Pia wajumbe mbalimbali wa marais wanaohudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa New York wamekuwa wakionekana mitaa ya New York wakifanya kufuru kubwa, ikiwemo kufanya shopping ya nguo na kula hoteli za bei mbaya. Matumizi yote haya ya anasa yanagharamiwa na walipa kodi wa nchi zao.
Kugundulika kwa matumizi haya ya anasa, kumezua gumzo miongozi mwa Watanzania, wakitaka kujua je Rais Jakaya Kikwete anayehudhuria mkutano huo wa UN Marekani amelala kwenye hoteli ya dola ngapi kwa siku na anafanya matanuzi gani huko kwa pesa za wavuja jasho wa Tanzagiza?
Gonga hapa kuona source ya taarifa: TANZANIA files