Kafumu kuwa waziri wa Nishati na Madini

Najua habari hii imetoka kwa Kafumu mwenyewe. Anavyopenda ukubwa anajipigia debe ili apate Uwaziri, tena wa Wizara ya Nishati na Madini. Historia yake inaeleweka tangu akiwa Chuo Kikuu DSM alipokuwa kinara wa kikundi cha Punch. Kwa lipi ambalo amefanya hadi kupewa Uwaziri? Mbona wapo Wabunge wengi wazoefu ambao wanastahili kupewa nafasi hiyo kama kweli Rais amechoka na Ngeleja? Taarifa hii ni ya kupuuza kabisa, ikiwa ni kweli, basi Wizara ya Nishati na Madini wamekwisha, maana huyu Bwana ni mpumzikaji ajabu. Alipokuwa Kamishna wa Madini, alikuwa siku zote anawaza safari za nje ya nchi tu. Idara ya Madini yenyewe ilimshinda, sembuse Uwaziri? KWA HILI, Ikulu itakuwa imekosea njia kwa kiwango kikubwa.
 
Nadhani taarifa hii imetoka kwa kafumu mwenyewe, maana tangu akiwa chuo kikuu alikuwa kinara wa kikundi cha punch. Inawezekana ameizusha ili afikiriwe. Kwani hakuna wabunge wazoefu wanaoweza kupewa nafasi hiyo kama kweli mhe. Rais ameamua kumtupa ngeleja? Hata kama kafumu anataka kupewa uwaziri, kwa nini wizara ya nishati na madini? Nimjuavyo mimi, huyu bwana ni mpumzikaji ajabu. Alipokuwa kamishna wa madini, siku zote alikuwa akikimbizana na safari za nje tu, kazi hakuna. Sasa ukimpa uwaziri mtu kama huyo unategemea nini? Tahadhali kwa ikulu, msifanye kosa hilo mtajuta.
 
Posho ya laki 9!kwi!kwi!kwi!alipokea mbuge hatumii hata masaburi kufikiri!acha waongeze mavi kwenye serekali ya magamba sisi yetu macho maana wanameamua kutupanda akilini!
 
Back
Top Bottom