Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Angali star tv muda huu uwasikilize hawa waheshimiwa wakijadili sakata la IPTL.
Waziri Tibaijuka anadai yeye alikuwa middle man katika upokeaji wa hiyo hela kama mchango kwa ajili ya shule na alilazimika kufungua account Mkombozi bank ili kukiza mashariti ya mtoa fedha kwani alitaka anaehitaji hiyo hela awe na account katika hiyo bank.
Kafulila pia ametoa ushahidi wa barua ya Lugemalila kwenda kwa Gavana ikimtaka Gavana asitoe hela mpaka kwanza yeye Lugemalila alipwe hela yake lakini BOT ilitoa hiyo hela kabla ya Lugemalila kulipwa hela yake ambayo ilikuwa ni dola milioni 67 kitu ambacho ni kinyume cha sheria.
Eti mama anasema nchi kukosa misaada ni kutokana Kafulila kuibua swala hilo.
Kwa kifupi,mama hana hoja na kwakweli amepanic na anaumbuka tu.
Waziri Tibaijuka anadai yeye alikuwa middle man katika upokeaji wa hiyo hela kama mchango kwa ajili ya shule na alilazimika kufungua account Mkombozi bank ili kukiza mashariti ya mtoa fedha kwani alitaka anaehitaji hiyo hela awe na account katika hiyo bank.
Kafulila pia ametoa ushahidi wa barua ya Lugemalila kwenda kwa Gavana ikimtaka Gavana asitoe hela mpaka kwanza yeye Lugemalila alipwe hela yake lakini BOT ilitoa hiyo hela kabla ya Lugemalila kulipwa hela yake ambayo ilikuwa ni dola milioni 67 kitu ambacho ni kinyume cha sheria.
Eti mama anasema nchi kukosa misaada ni kutokana Kafulila kuibua swala hilo.
Kwa kifupi,mama hana hoja na kwakweli amepanic na anaumbuka tu.