Kafulila, hiyo sio njia sahihi ya kujenga chama chako cha NCCR- Mageuzi

Pasco tunaomba jibu la swali hili,ni CDM waliotunga kanuni hiyo?? Vp kesi za ccr kwa cdm je huo nao ni umoja,unapolazimisha umoja wakati nyuma ya pazia unafanya yasiyo ya umoja si ni unafiki, kuwa muwazi pasco tusitetee tu kisicho haki,cuf zanzibar wameungana na nani aliye chama cha upinzani kuonyesha umoja???
 
point...tatizo chadema ni wanafiki...if you aint with them we ni adui yao,,,wanataka waungwe mkono wao tu..hoja yoyote ya kuwapinga hawataki..they cant admit when they are wrong....chadema inaongozwa na low minded ppl mbowe na slaa..wengine wanafuata upepo...

ITS BETTER TUONGOZWE NA KICHAA (CCM) TUNAYEMJUA KULIKO AMBAYE HATUMJUI...chadema mkipewa nnchi mtatupeleka pabaya..******

akili yako inaongozwa na kichaa
 
First Lady unaposema just crap...! bila kufafanua chochote una maaninisha everthing ni crap. Basi kwa kukuheshimu wewe sio crap only that 'part 'of you must be crap...!

which part bro?will u please be a little bit specific.
 
Pasco tunaomba jibu la swali hili,ni CDM waliotunga kanuni hiyo?? Vp kesi za ccr kwa cdm je huo nao ni umoja,unapolazimisha umoja wakati nyuma ya pazia unafanya yasiyo ya umoja si ni unafiki, kuwa muwazi pasco tusitetee tu kisicho haki,cuf zanzibar wameungana na nani aliye chama cha upinzani kuonyesha umoja???
 
First Lady unaposema just crap...! bila kufafanua chochote una maaninisha everthing ni crap. Basi kwa kukuheshimu wewe sio crap only that 'part 'of you must be crap...!

which part bro?will u please be a little bit specific.
For u lady womanup please make do with some explanation why pasco point is crap
 
uChomete, kwa maoni yangu Kafulila is not only a good politician but also he has the powers to make things happen.

Japo siungi mkono jinsi anavyoisakama Chadema lakini namkubali jamaa ni smart wa level ya kina Zitto, Mnyika, January, Nape and the like. This is their time.

Hili la kulazimisha wapinzani waungane mbona pia ni la maana. Chadema tumeshawaambia mara kibao, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Wao wakaamua kuchagua udhaifu.

Matacticians wazuri kwenye vita hutumia tactics za kuwatumia maadui zao kushinda vita.

Baada ya Chadema kujua CUF ni maadui, walitakiwa kuwakaribisha nyumbani and use them for their advantage.

Zitto amechaguliwa kuendelea na POAC kwa sababu amelithibitishia bunge he is over and above party politics akiwa bungeni. Kwake ni maslahi ya taifa mbele.

Members, wafuasi, wapenzi na washabiki wa Chadema, washaurini viongozi wenu mjipange vizuri now than any other time before its too late!.



Ndugu yangu ni kweli umoja ni nguvu, lakini hii nguvu inakuja wakati mnapokuwa na interest sawa zinazoendana vingenevyo huleta confilict of interest na kupunguza nguvu na uwezo wa kupambana na changamoto zilizopo.

Kwa maoni ya watanzania wengi, CHADEMA ndiyo chama cha upinzani kwa maana ya upinzani. hembu nikkulize ndugu yangu hivi Mrema naye ni mpinzani wa kweli?, je cheyo au niambie CUF nao ukizingatia yaliyotokea Zanzibar.

Hembu tujiulize hawa jamaa wenzetu wa CCM kwanini wanataka CHADEMA iungane na CUF na wengineo
 
First Lady unaposema just crap...! bila kufafanua chochote una maaninisha everthing ni crap. Basi kwa kukuheshimu wewe sio crap only that 'part 'of you must be crap...!
Jamani hili neno crap linabore sana endapo mtu ametumia muda kupost kitu ambacho yeye anaamini ndiyo maoni, msimamo kuhusu mada iliyo mbele ya jamvi. Huu ni uchokozi wa wazi wazi. Kwani kuna shida gani uka quote sehemu ambayo haukubaliani nayo ukaijengea mada kwa jinsi uonavyo wewe.
Tupunguze migogoro isiyo ya lazima jamvini.
 
Chadema walikuwa sahihi kuhusu hizi kamati...Just imagine Mrema ni ccm pure na alimfanyia kampeni kikwete live na kumtosa mgombea wake...ukija cheyo ndiyo kabisa yupo yupo tu kwa maslai yake binafsi thats why udp ipo jimboni kwake tu..isitoshe bunge lililopita huyu wapinzani walimtema baada ya kuharibu...all in all upinzani umepata nafasi moja tu ya Zito zilizobaki zimeenda ccm..Na hiki ccm ndicho walichokitaka wakawatumia maboya kafulila na hamadi bila wao kujua kutokana na uzuzu wao wakapiga debe mpaka mishipa ya shingo ikawatoka at the end wakatoswa... ccm wakaweka watu wao..hata huyu zito bado tuna wasi wasi naye labda ajirudi bunge hili...... naomba kuwakilisha!:coffee:
 
Hivi hiyo kanuni imetungwa na CHADEMA baada ya kupata wabunge wengi?

Tunachotaka wote waliochaguliwa walinde maslahi ya nchi, though i doubt it!


Nakumbuka kanuni hii iliwekwa na CUF wakiongozwa na Hamad ili kuwatenga wabunge wengine wa upinzani wakati ule CUF ina wabunge wengi. Lakini cha kushngaza ni leo CUF ina wabunge wachache kuliko chadema wanashawishi kanuni zibadilishwe kwa nini?

Je wakati ule CDM wana wabunge wachache mbona hatukusikia vijembe vya namna hii, na haikutokea CDM wakawaunga mkono CCM hata mara moja zaidi ya kambi ya upinzani inayoongozwa na CUF.

Nionavyo mimi ni kwamba hawa CUF wanauroho wa madaraka kwa hiyo hata ikitokea Zenji Jahazi asilia ikashika nafasi ya pili watashawishi ili sheria ibadilishe ya kuwa serikali ya umoja wa kitaifa itokane na vyama vyote vya upinzani na chama kilichoshika nafasi ya pili.

Mimi nafikiri waache mambo ya kubebwa wakawashawishi wananchi na kuwafanyika kazi na kuwaelimisha ndipo watakapopata wabunge wengi na si kutumiwa na CCM kuivuruga democrasia.
 
Binadamu aliyezidiwa chuki usijibishane nae,mbona msiandike kuhusu mchango wake mzuri jana bungeni alipojadili masuala ya kiuchumi na amani!Kafulila ni kijana makini,mpambanaji,mwenye uwezo wa kuchanganua hoja,nyie kaeni nyuma ya PC na kuandika upupu,mwenzenu ni mbunge anawatumikia wananchi wake na nchi yake.Blah Blah hazimgusi!:laugh::laugh:
 
Kafulila hawezi kuwa na mafanikio makubwa kwa staili hii anayoenda nayo, staili ya kudandia hoja bila kujua ni kwa maslahi ya nani ili uonekane tu unaongea bungeni. Hoja ya kubadilisha kanuni ilikuwa kwa maslahi ya ccm, cuf, Lyatonga na cheyo, haikuwa kwa maslahi ya NCCR, TLP au UDP. Ajifunze kuangalia upepo unavyoenda, asome alama za nyakati, kwa kuendelea kwake kujenga tofauti na CHADEMA atajiua kisiasa.
 
Sisi watu wa KIGOMA tuna hazina ya vichwa. NADHANI KUNA HAJA SERIKALI IKAELEKEZA NGUVU KATIKA KUWACHAGUA NA KUWAENDELEZA WATU WA KIGOMA. ONA MAFISADI WENGI WANAVYOTOKE KASKAZINI NA WALA HAWANA UCHUNGU NA NCHI.

NADHANI CHADEMA ILE DHAMBI YA UKABILA INAWASUTA KWA KUMFUKUZA HUYU KIJANA. ZITO ANAONA MBALI NA NDIO MAANA AKAMPA SUPPORT.
HONGERA KAFULILA.
 
Nakumbuka kanuni hii iliwekwa na CUF wakiongozwa na Hamad ili kuwatenga wabunge wengine wa upinzani wakati ule CUF ina wabunge wengi. Lakini cha kushngaza ni leo CUF ina wabunge wachache kuliko chadema wanashawishi kanuni zibadilishwe kwa nini?

Je wakati ule CDM wana wabunge wachache mbona hatukusikia vijembe vya namna hii, na haikutokea CDM wakawaunga mkono CCM hata mara moja zaidi ya kambi ya upinzani inayoongozwa na CUF.

Nionavyo mimi ni kwamba hawa CUF wanauroho wa madaraka kwa hiyo hata ikitokea Zenji Jahazi asilia ikashika nafasi ya pili watashawishi ili sheria ibadilishe ya kuwa serikali ya umoja wa kitaifa itokane na vyama vyote vya upinzani na chama kilichoshika nafasi ya pili.

Mimi nafikiri waache mambo ya kubebwa wakawashawishi wananchi na kuwafanyika kazi na kuwaelimisha ndipo watakapopata wabunge wengi na si kutumiwa na CCM kuivuruga democrasia.

MR. AKILIMATOPE.
Hivi umaarufu wa Slaa na Zito hautokani na CUF kuwaweka mbele katika Upinzani bunge zilizopita?. KWELI NYANI HAONI ........................
 
Hili la kulazimisha wapinzani waungane mbona pia ni la maana. Chadema tumeshawaambia mara kibao, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Wao wakaamua kuchagua udhaifu.

Pasco utasemaje jambo la kulazimisha ni la maana? Kwani wamekuwa watoto wasiojua lipi zuri na lipi baya kwao? Heshima kwa Chadema naona hapa inapungua.

Unaposema "umoja ni nguvu" unapaswa kuelewa maana ya umoja. Utanisamehe sina kamusi ya kiswahili lakini ntakupa tafsiri chache

.....a whole or totality as combining all its parts into one.

...the state or fact of being united or combined into one, as of the parts of a whole; unification.

...absence of diversity; unvaried or uniform character.

...oneness of mind, feeling, etc., as among a number of persons; concord, harmony, or agreement.

Sasa ukichanganya maji na mafuta ndani ya chupa unapata umoja? Hapana unapata Uwingi sio Umoja. Uwingi wa kuunganisha vyama pinzani vyenye mielekeo tofauti hauleti umoja. Umoja wa Chadema ndani ya chama chao kwenye kambi ya upinzani una manufaa zaidi ya uwingi wa vyama vyenye itikadi tofauti vinavyopelekana mahakamani na kukejeliana kila kukicha.
 
Kafulila Politician mzuri uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja ni mtu wa msimamo sio Crackpot kama wanasiasa wengi wa Tanzania, unaweza kumuona Kafulila sio mzuri kwako sababu ni Opposition kwako kuna watanzania wamempigia kura wanamuhamini kajenga chama chake sio kazi rahisi, Kafulila is a phonomenal politician
 
wakuu,kuwa smart tu bila vitu vingine vya msingi hasa tunapozungumzia kujenga taifa lenye VIONGOZI wataowatumikia wananchi kwa dhati,anatakiwa mtu asiye mnafiki na daima asimame kwenye ukweli hata kama ukweli huo utawanufaisha maadui(binafsi) wake.Kafulila kweli ni smart lakini mengi yanayotokea sasa ni kutaka kuwaonesha cdm kuwa walikosea kumtosa,na ingawa ni mbunge lakini hiyo picha inamfanya awe kipofu hata kwenye mambo ya msingi na kujikuta anakuwa mnafiki(kwani anajua ukweli ambao angekuwa bado yupo cdm angeusimamia).Kafulila u kijana mdogo sana na una nafasi kubwa mbele kwa ushauri wangu wa bure kama unataka kufika unapopataka mtafute Mzee Mabere Marando akupe mwelekeo wa siasa ili usijeishia kuwa mwanasiasa wa kipindi fulani tu.Ukichanganya ushauri wa Marando na akili zako utafika mbali.ni mtazamo wangu tu wadau.
 
Jamani msimlaumu huyu dogo, fedha ya mafisadi inawez kumnunua mtu yeyote, kachakachuliwa Pinda itakuwa huyu sisimizi Kafulila? Ila ninawashangaa sana CUF kushirikiana na NCCR, nikikumbuka jinsi bwabwa Mbatia lilivyowawekea wagombea wa CUF mpaka wakaenguliwa hivyo kuinufaisha CCM naona kweli siasa ni mchezo mchafu.Lakini yote kwa yote mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Kafulila is still a very young politicians at both physical and intellectual levels.He has still a long way to learn about contemporary political tactics.Yeye hajajua kwamba CCM waliunga hiyo move kwa lengo la kuidhoofisha Chadema.Wakifanikiwa hiyo ( oF COURSE hawataweza in practice because watu wameichoka CCM) Kafulila na wengine hao political opportunists from the opposition wajue kuwa CCM wataanzisha zengwe jingine kudhofisha vyama vingine vya upinzani vitakavyoonekana vinakuja juu kuikabiri CCM.Chui na swala hawawezi kukaa chumba kimoja,hilo ni muhimu akina Kafulila walielewe mapema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom