kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Bw kafulia,pokea haki yako hiyo kwa mikono miwili wape salamu na wanafiki wengine wambie Mungu ameamua kuwakomboa Watanzania dhidi ya wanafiki.USHAURI WNG PUNZIKA SIASA TAFUTA CHUO KASOME UTANUWE SOKO LAKO .achana na mambo ya kupigia mwanadamu mwenzako magoti hii ni kwa sababu hauna njia nyingine ya kutoka.pole zitto,tafuteni njia nyingine