Kafulila: Pinda Mzigo Namba Moja Serikalini!

Mchambuzi, mwenyekiti, Katibu Mkuu, mjumbe wa secretariat wakiyasema hayo, ni nani anapaswa kubadilika katika chama? Au kwa lugha ingine ni nani anayearibu katika chama?

Always, tatizo la chama cha siasa huwa haliwi wanachama bali ni huwa ni viongozi; CCM isn't spared na ukweli huu - uongozi wa chama ni tatizo kubwa sana kwani chama kinaendeshwa na personalities za viongozi, sio kwa kuendana na values zilizopo kitaasisi. Ndio maana Kinana performs better than makamba or mukama; kolimba was better than the rest, nyerere was better than the rest katika nafasi ya uenyekiti, n.k, n.k. Ufanisi ccm utaboreshwa kwanza kwa ku decentralize decision making za chama ngazi za chini. Pili, kwa kutenganisha kofia ya mwenyekiti na rais huku mwenyekiti akizuia na katiba ya chama kutogombea urais akiwa katika uenyekiti na kwa miaka mitano baada ya kumaliza muda wake wa uenyekiti, na uchaguzi wa mwenyekiti uwe wazi na wa ki demokrasia kila baada ya miaka mitano. Kwa mtazamo wangu, kutenganisha kofia ya urais na uenyekiti kwa maelezo hayo juu huku pia decentralization in decision making ikishuka chini, tutaondokana na tatizo alilosema mwalimu kwamba kutenganisha kofia hizi ni kutayumbisha nchi. Kwa hoja ya Mwalimu, then kuvitenganisha ni "desirable" but not "preferable". It will only be preferable ikiwa mabadiliko niliyojadili hapo juu, in my humble view, yatatokea.

Lakini swali lako linanipa swali kwamba - nani yupo karibu kikazi na hawa mawaziri kuweza kubaini madhaifu yao - mwenyekiti au katibu mkuu? Je inawezekana source ya kinana kubaini mapungufu ya mawaziri ni kutokana na kufanya ziara nchi nzima?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kauli hii inakuja siku chache baada ya PINDA kumwambia ZITTO 'yanayomfika ni kwa sababu ya kudharau waliomzidi umri'

KAFULILA kama amekosoa kwa nia njema,ni sawa
 
Always, tatizo la chama cha siasa huwa haliwi wanachama bali ni huwa ni viongozi; CCM isn't spared na ukweli huu - uongozi wa chama ni tatizo kubwa sana kwani chama kinaendeshwa na personalities za viongozi, sio kwa kuendana na values zilizopo kitaasisi. Ndio maana Kinana performs better than makamba or mukama; kolimba was better than the rest, nyerere was better than the rest katika nafasi ya uenyekiti, n.k, n.k. Ufanisi ccm utaboreshwa kwanza kwa ku decentralize decision making za chama ngazi za chini. Pili, kwa kutenganisha kofia ya mwenyekiti na rais huku mwenyekiti akizuia na katiba ya chama kutogombea urais akiwa katika uenyekiti na kwa miaka mitano baada ya kumaliza muda wake
wa uenyekiti, na uchaguzi wa mwenyekiti uwe wazi na wa ki demokrasia kila baada ya miaka mitano. Kwa mtazamo wangu, kutenganisha kofia ya urais na uenyekiti kwa maelezo hayo juu huku pia decentralization in decision making ikishuka chini, tutaondokana na tatizo alilosema mwalimu kwamba kutenganisha kofia hizi ni kutayumbisha nchi. Kwa hoja ya Mwalimu, then kuvitenganisha ni "desirable" but not "preferable". It will only be preferable ikiwa mabadiliko niliyojadili hapo juu, in my humble view, yatatokea.

Lakini swali lako linanipa swali kwamba - nani yupo karibu kikazi na hawa mawaziri kuweza kubaini madhaifu yao - mwenyekiti au katibu mkuu? Je inawezekana source ya kinana kubaini mapungufu ya mawaziri ni kutokana na kufanya ziara nchi nzima?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi kinachofanyika sasa ni siasa na wala si utendaji wa mawaziri. Hii inasemwa kwa sababu ndiyo kauli tamu masikioni mwa wapiga kura. Wewe unaamini kuwa Waziri anaweza kutenda nje ya mfumo wa serikali, yaani baraza la mawaziri? Aliyewateua alipaswa kuwa ameliona hili na kuwawajibisha. Hata hivyo Mimi naamini kabisa kuwa utendaji wa serkali ni zaidi ya Waziri mmoja mmoja. Kwa hakika hata tukibadilisha Waziri Mkuu hakutakuwa na mabadiliko endelevu mpaka tutakapotatua matatizo ya msingi. Waziri hawezi kufanya maajabu ikiwa mipango na raslimali zinaxotakiwa haziko sahihi.
 
Lazima niseme kwamba lumumba imejaliwa kupata political spinners. Hongera kwa kuruka kihunzi, lakini umetua pale pale iwapo utasoma ulichaondika na kulinganisha na maudhui ya hoja yangu.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sikuelewi hata unachokisema ni nini?.

Kila siku unajaribu kuwaamisha watu kuwa wewe ni wanaCCM lakini matendo yako hayaendani na wanaCCM wa kweli.

Hivi umeisha hudhuria vikao vingapi vya chama kama vilivyoainishwa kwenye katiba yetu kuanzia kipengele cha 21-190, kuanzia vya Shina, Tawi, Kata/Wadi, Jimbo, Wilaya, Mkoa na Taifa na kuwakosoa wanaCCM "wenzako" kabla ya kuleta haya unayoyaita "makosa" ili kukosoana na hasa ikichukuliwa kuwa haya ndiyo malengo na madhumuni ya chama kama yalivyoainishwa katika kipengele cha 5(8) cha katiba.

Toka lini JF ikawa ni sehemu ya vikao vya CCM kwa maana kwamba kila yale yanayotolewa hapa kama malalamiko lazima yafanyiwe kazi na viongozi wa chama bila kupitia channel za kichama.

Mabadiliko ya CCM na ndani ya serikali ya CCM yanafanyika kupitia misingi ya vikao na siyo kupitia mawazo ya wanaJF peke yake kwa njia hiyo, ndiyo maana CCM imeweza kuendelea kupewa nchi na wananchi katika chaguzi zote kuu kuanzia mwaka 1995 ndani ya wigo wa demokrasia na kutaka ifanye kama unavyopenda ni kutoka nje ya taratibu, misingi na katiba yake.
 
Hawana training kujadili maswali kama haya, na akijaribu kujibu, it will be full of spinning kuliko a hurricane. Vinginevyo sana sana pinda akitolewa, watakuja na pongezi kede kede za ujumla tu kwa mabadiliko yaliyotokea na kwa busara na hekima za mamlaka ya uteuzi.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
CCM hatujadili mambo bila vikao.

Kwani CCM ni nani na mabadiliko yanafanywa na nani kwa manufaa ya nani?.

Inaonekana huelewi kama viongozi ni wanachama wa CCM kama walivyo wanachama wengine hai. Maamuzi yao yanafanyika kwa sababu vikao vya chama vimeamua iwe hivyo na kikubwa zaidi, siyo kila ajenda ya vikao vya chama inakuwa ni public domain.

Spinning unaziona ni wewe kwa sababu mitazamo yako katika kuyajongea majadiliano imejaa hisia za spinning.

Kulazimisha majibu kwa jinsi unavyopenda ni mwendelezo wa fikra za kidikteta ambazo CCM iliamua kuzikataa muda mrefu sana kama ilivyoainishwa kwenye katiba katika kipengele cha 5(8).
 
Ukishaona mbunge au wabunge wana mlaumu spika kuwa mawaziri bungeni ni wachache mno na wakati huohuo anashindwa kuona kuwa hapo aliposimama akichangia kazungukwa na viti kibao vitupu visivyo na wabunge basi jua tayari kuna tatizo kubwa la unafiki.

Leo nimeshudia kitu kimoja ambacho si cha kawaida, kuna wabunge walijipanga kumshambulia pm, tusubiri tuone mwisho wa hili.

Ila pm wetu naye anamapungufu yake, kuna siku nimemsikia na kumtazama kwenye tv anaelezea maisha na matatizo ya wadudu nyuki kati ukulima wao alinivutia sana. Nikiangalia utendaji wake katika kushughulikia matatizo ya wananchi anao wa ongoza utashangaa. Hivi inawezekana vipi pm akawa makini kwenye nyuki kuliko binadamu wenzake?
 
Mm nadhan Pinda anaonewa tu. Kangi Lugola na Kafulila hebu kuweni wakweli. Mwenye tatizo hapa c Pinda bali ni yuee Dhaifu aliyetajwa na J. J. Mnyika mbunge wa Ubungo. Kama mnakumbuka sakata la Jairo Pinda alitamani kuchukua hatua ila ndiyo hivyo tena akawa hana mamlaka juu ya hilo. Dhaifu alipokuja alipotezea. Dhaifu angekua hajatekwa na genge la marafiki wenye pesa na kumfanya aogope kufanya maamuzi thabiti Pinda pia angethubutu kuchukua hatua. Pinda atapata wapi ujasiri wa kuchukua hatu wakati boss wake yupo kimya?
 
Tuache utani serikari imejaa mizigo lakini pinda ni zigo,tena zigo la misumari,halibebeki.hatujawahi kupata waziri mkuu bomu namna hii.tatizo la pinda wala sio upole,ni uwezo wake mdogo tu.....

Inahitajika busara kubwa sana kuisamehe ccm ambayo ni kuipa chadema kura ili ccm ijifunze kwa kuwa mtazamaji
 
CCM hatujadili mambo bila vikao.

Inaonekana huelewi kama viongozi ni wanachama wa CCM kama walivyo wanachama wengine hai. Maamuzi yao yanafanyika kwa sababu vikao vya chama vimeamua iwe hivyo
Ccm ilikaa kikao gani kilichofikia maamuzi kwamba sasa Kinana na Nape wawataje mawaziri mizigo ambao wanatakiwa kuwajibishwa na Rais?

na kikubwa zaidi, siyo kila ajenda ya vikao vya chama inakuwa ni public domain

Spinning in action. Inaonekana hauna taarifa juu ya source ya maamuzi haya. Ulizia hapo Lumumba utapata jibu...

Cc Getstart, Mr.zero


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ccm ilikaa kikao gani kilichofikia maamuzi kwamba sasa Kinana na Nape wawataje mawaziri mizigo ambao wanatakiwa kuwajibishwa na Rais?



Spinning in action. Inaonekana hauna taarifa juu ya source ya maamuzi haya. Ulizia hapo Lumumba utapata jibu...

Cc Getstart, Mr.zero


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi, vyama vya siasa na hasa viongozi wao wanapofanya maamuzi yanayolalamikiwa au wakisikia maoni yadiyopendeza masikioni mwao wimbo wao ni mmoja...maamuzi ya chama hufanywa kwenye vikao... Iwe CHADEMA au CCM.

Ikiwa kweli CCM walikubaliana kwenye vikao kwenda kusema udhaifu wa mawaziri wao kwenye mikutano ya hadhara inanitia shaka - mwenyekiti wa kikao cha juu ni Rais ambaye ndiye mwajiri wa mawaziri hawa. Kwa wanaofahamu, kauli hizi za jukwaani ni kumpaka matope Rais!
 
Last edited by a moderator:
Pinda ni moja wa viongozi wanafiki akitaka ajulikane kama viongozi wasafi. Tumefika hapa kwa udhaifu wa bosi wake!
 
Ukishaona mbunge au wabunge wana mlaumu spika kuwa mawaziri bungeni ni wachache mno na wakati huohuo anashindwa kuona kuwa hapo aliposimama akichangia kazungukwa na viti kibao vitupu visivyo na wabunge basi jua tayari kuna tatizo kubwa la unafiki.

Leo nimeshudia kitu kimoja ambacho si cha kawaida, kuna wabunge walijipanga kumshambulia pm, tusubiri tuone mwisho wa hili.

Ila pm wetu naye anamapungufu yake, kuna siku nimemsikia na kumtazama kwenye tv anaelezea maisha na matatizo ya wadudu nyuki kati ukulima wao alinivutia sana. Nikiangalia utendaji wake katika kushughulikia matatizo ya wananchi anao wa ongoza utashangaa. Hivi inawezekana vipi pm akawa makini kwenye nyuki kuliko binadamu wenzake?

Hii ni Serikali zote za Africa wanapenda mali kuliko Watu,tembo anathamani kuliko binadamu,chura anathamani sana,watubadilishe tuwe vifaru ili tupendwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom