YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,597
- 37
mbunge wa kigoma kusini ana mpango wa kupeleka hoja binafsi ya kutokuwa na imani na waziri Ngeleja kutokana na issue ya umeme na mgao usioeleweka! Hakumtaja Ngeleja kwa jina bali kwa cheo chake. Anasema umeme usioeleweka ni tatizo kuliko mtikisiko wa uchumi
source Taarifa ya saa 2 ITV
source Taarifa ya saa 2 ITV